Unamaanisha yule mwanae na Kikwete?TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii .Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Raisi Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.
Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia
Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
Wote Ni wa MUNGU. Mbele yake nyuma yetu.TANZIA
Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun. Nawajulisha taarifa ya Msiba mkubwa wa Kaka yetu Mkubwa Bwana Khalfani Selemani Kikwete aliyefariki asubuhi hii .Msiba upo Msasani Nyumbani kwa Mh.Raisi Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Taratibu za mazishi na mengineyo tutajulishana.
Ahsanteni sana.
Kwa Niaba ya Familia
Ridhiwani J. Kikwete (Mb)
Huyo atakuwa ni kaka yake na JK. Kama angekuwa ni mtoto wa JK angeitwa Halfani Jakaya Mrisho Kikwete. Badala ya Halfan Seleman Kikwete!unamaanisha yule mwanae na Kikwete?
Mshana Senior kuna pahala alifanya featuringMkuu mshana na wewe nifamilia ya kikwetee,mkweree na mpareee wapi na wapi bwasheeeee
Haya ambiereeeeee.....poleni kwa msibaMshana Senior kuna pahala alifanya featuring
Nimeshtuka manake yule dogo namfukuzia kitambo sana!Huyo atakuwa ni kaka yake na JK. Kama angekuwa ni mtoto wa JK angeitwa Halfani Jakaya Mrisho Kikwete. Badala ya Halfan Seleman Kikwete!
Sawa Mummy Hornet!!!
Ni mtoto wa kaka yake JK, ambaye Ridhiwani anamwita kakaHuyo atakuwa ni kaka yake na JK. Kama angekuwa ni mtoto wa JK angeitwa Halfani Jakaya Mrisho Kikwete. Badala ya Halfan Seleman Kikwete!
Sawa Mummy Hornet!!!
Lakini pia Jk Ana mtoto anaitwa KhalfanNi mtoto wa kaka yake JK, ambaye Ridhiwani anamwita kaka
This is normal pneumonia nowadays RIP kalfan kikwetePoleni wafiwa, hii pneumonia imeleta shida sana Tanzania.
Jilipuee mkuu umface umwambie yalio moyoni mwako.....Nimeshtuka manake yule dogo namfukuzia kitambo sana!