elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Wadau nina laptop ya sony vaio mabayo nina itumia kwa mwaka sasa, kuna siku window iliji update comp ilipo restart keyboard ikawa haifanyi kazi laba letter q,w,e,r,t na z,x,c basi. Ikawaweka external kwyboard still hakuna kitu sasa sijui tatizo ni nini. Ukiclick button inatoa mlio wa kubip hata kama umeweka external keyboard.