Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,879
Hakika niliposikia Rais Samia anavitamkia Vyombo vya Dola juu ya Wananchi Kubambikiziwa KESI nilitarajia Kuona KESI zote za Uchaguzi Mkuu zingefutwa kwani Kesi hizo Ziliandaliwa na Watawala Chini ya Amiri Jeshi Mkuu Magufuli ili Kuudhoofisha UPINZANI wakati wa UCHAGUZI MKUU Wapinzani Wamejaa Magerezeni kwa Kesi za Uongo na Kusingiziwa .Niliamini Rais Samia angeunda TUME kuchunguza Uhalali wa KESI Zote zinazowahusu Wapinzani ili Kutenda HAKI iliyopotezwa na MAGUFULI.