Habari wakuu,
Awamu hii ya tano inayoongozwa na Magufuli imekuwa ikiwakamata raia wanaopinga maovu yanayofanywa na utawala huu wa kidikteta na kuwaweka ndani kisha kufunguliwa kesi za uchochozi na uhujumu uchumi
Kwa sasa watanzania wanyonge waliobambikiwa kesi hizo za uhaini baada ya kupigania demokrasia hapa nchini kwa sasa mkombozi wao amefika
Matukio ya utekaji, kesi za uhujumu uchumi, kupotezwa kimyakimya, na kuuliwa kwa wapinzani wa nchi hii sasa yanaenda kuwa historia, baba wa dunia anayejua kunyoosha nchi na serikali kandamizi kwa wananci wake amesikia kilio chetu watanzania na anakuja...karibu marekani, karibu Trump Tanzania.
Erick kabendela, Tito magoti na wengine wengi kwa sasa tujiandae kurudi uraiani jiwe hana option zaidi ya kuwafutia kesi ili kuinusuru nchi
Karibu sana Marekani, njoo uninyosheeee Jiwe
Awamu hii ya tano inayoongozwa na Magufuli imekuwa ikiwakamata raia wanaopinga maovu yanayofanywa na utawala huu wa kidikteta na kuwaweka ndani kisha kufunguliwa kesi za uchochozi na uhujumu uchumi
Kwa sasa watanzania wanyonge waliobambikiwa kesi hizo za uhaini baada ya kupigania demokrasia hapa nchini kwa sasa mkombozi wao amefika
Matukio ya utekaji, kesi za uhujumu uchumi, kupotezwa kimyakimya, na kuuliwa kwa wapinzani wa nchi hii sasa yanaenda kuwa historia, baba wa dunia anayejua kunyoosha nchi na serikali kandamizi kwa wananci wake amesikia kilio chetu watanzania na anakuja...karibu marekani, karibu Trump Tanzania.
Erick kabendela, Tito magoti na wengine wengi kwa sasa tujiandae kurudi uraiani jiwe hana option zaidi ya kuwafutia kesi ili kuinusuru nchi
Karibu sana Marekani, njoo uninyosheeee Jiwe