Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Kwa wafuatiliaji wa chaguzi za kisiasa mtakumbuka kuwa pamoja na mambo mengine chaguzi nyingi hivi sasa zinagubikwa na udanganyifu, uonevu na utesaji unaofanywa na tume ya uchaguzi ikishilikiana na vyombo vya usalama na serikali.
Pamoja na kuwa na ushahidi wa uovu huo ( mfano Buyungu) wapinzani hawaitumii mahakama kutafuta haki.
Nini kimetokea?
Ombi langu wapinzani wafungue kesi za kupinga matokeo mahakamani ili pia kuweka kumbukumbu sawa.
Pamoja na kuwa na ushahidi wa uovu huo ( mfano Buyungu) wapinzani hawaitumii mahakama kutafuta haki.
Nini kimetokea?
Ombi langu wapinzani wafungue kesi za kupinga matokeo mahakamani ili pia kuweka kumbukumbu sawa.