Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kwa sasa hakuna kesi za kikatiba ambazo ni muhimu kwa Taifa hili kama hizi kesi mbili hivyo tungependa kujua kesi hizi zimepangwa kuanza kusikilizwa lini maana 2020 sio mbali.
Iwapo kesi hizi zitacheleweshwa mpaka uchaguzi mkuu wa 2020 unawadia, nawashauri mawakili wa upande wa mashitaka kufungua kesi mahakamu kuu kuiomba mahakama izuie kufanyika uchaguzi mkuu wa 2020 mpaka kesi ya msingi iishe vinginevyo 2020 hakuna uchaguzi bali tutashuhudia yale tulioyaona katika uchaguzi mdogo wa majimbo Kinondoni na Siha.
Na je hizi kesi zimeshapangiwa majaji wa kuzisikiliza?
Ila nikiwaza na uteuzi wa hawa majaji wapya,hakika kichwa hakitulii kabisa.
Nawasilisha.
Iwapo kesi hizi zitacheleweshwa mpaka uchaguzi mkuu wa 2020 unawadia, nawashauri mawakili wa upande wa mashitaka kufungua kesi mahakamu kuu kuiomba mahakama izuie kufanyika uchaguzi mkuu wa 2020 mpaka kesi ya msingi iishe vinginevyo 2020 hakuna uchaguzi bali tutashuhudia yale tulioyaona katika uchaguzi mdogo wa majimbo Kinondoni na Siha.
Na je hizi kesi zimeshapangiwa majaji wa kuzisikiliza?
Ila nikiwaza na uteuzi wa hawa majaji wapya,hakika kichwa hakitulii kabisa.
Nawasilisha.