Kuna watu mtaniuliza ni sheria gani inaruhusu hilo?
Na Mimi nawajibu kwa maswali;
Katika ofisi za Umma kuna msemo uko hivi; Mteja (customer) hadanganyi,
Ikiwa na maana kwamba mteja akikushitaki kwa bosi wako ni rahisi sana wewe kutumbuliwa kwasababu Mteja husikilizwa!
Upande wa Traffic case hilo lipo kinyume, Huku Polisi traffic ndiyo husikilizwa kwanza na hakosei,
Kuna makosa ya wazi hayo Yanaeleweka!
Shida ipo kwenye Makosa haya ya kuviziana!
Mfano;
Hivi kwa mazingira kama hayo Mimi mwanachi Naachaje Kutoa Rushwa ili Nisipotezewe Mda wangu Bure?
Na Mimi nawajibu kwa maswali;
- Polisi Traffic akishachukua leseni yako anaamua kukugandisha makusudi pembeni ya barabara saa nzima huwa anatumia sheria gani?
- Polisi Trafiki anapochomoa funguo wa Gari yako wakati wa mazungumzo na kuizuia hadi umlambe miguu ndipo akupe huwa anatumia sheria gani?
Katika ofisi za Umma kuna msemo uko hivi; Mteja (customer) hadanganyi,
Ikiwa na maana kwamba mteja akikushitaki kwa bosi wako ni rahisi sana wewe kutumbuliwa kwasababu Mteja husikilizwa!
Upande wa Traffic case hilo lipo kinyume, Huku Polisi traffic ndiyo husikilizwa kwanza na hakosei,
- Mkipelekana kwa in charge wake anaesikilizwa kwanza ni yeye siyo wewe uliyekamatwa.
- Akikupeleka kituoni unawezwa lazwa ndani halafu ukasiilizwa kesho yake na hakuna wa kuhoji!
Kuna makosa ya wazi hayo Yanaeleweka!
Shida ipo kwenye Makosa haya ya kuviziana!
Mfano;
- Dreva anaefika kwenye taa ambapo concentration yake iko kwenye taa (ikitokea bahati mbaya kukawa na trafiki anaongoza Gari mathalani alifunikwa na Gari ukashindwa kumuona), Vile taa ya kijani ikaruhusu ukapita halafu mbele wakudake! Hawatakuwa na simile na wewe utahesabika umezarau Alama za barabarani (KOSA) n.k
- Ukisimamishwa halafu ukaenda simama mita 50m mbele mathalani ulikuwa speed au kwa kutazama sehemu nzuri ya kusimama, Hapo wakiamua kukushikilia kwa kosa la kuwakimbia traffic bado hakuna ataekusikiliza wakiamua hata ndani rupango unalala! na huwafanyi lolote;
Hivi kwa mazingira kama hayo Mimi mwanachi Naachaje Kutoa Rushwa ili Nisipotezewe Mda wangu Bure?