Msafwa wa swaya
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 425
- 104
Mchawi wetu ni wanachadema wenyewe wapenda haki wa chadema na wazurumaji haki wa chadema kod za uanachama wote tunatoaa!
Usitishe mtu hapa. Shughuli za cdm zinaendelea kawaida na tuliyajua haya.
Maadui wa Chadema wanajulikana, Zitto ni wakala tu. Na Tutawashinda wote.
Acha woga! ZITTo aliwaonya sana, mkajifanya vichwa maji! Muli-undersestimate nguvu ya ZITTO! Subiri matokeo tu!
nguvu ya zito ulyoiona wewe ni ipi,? wewe ni moja ya washamba katika siasa, uko kwa ajili ya watu/mtu badala ya kufuata sera za chama husika. use your head to think not ma------. hata mahakama itoe uamuzi gani tunachojua huyu mnafiki sio MEMBER WA M4C TENA! kama ni ngumu sana kuamini jitundike.
Ndio maana mkaamua kuleta wahuni wa kariakoo na buguruni na Temeke umewasomba na magari,bajaji na pikipiki.siku ya kwanza ya kesi zzk alivyozomewa mahakamani mbona mlishangilia badala ya kulaani ?
Mtakuwa mmeshagawanyika,wengine kwa lowassa,wengine kwa membe,etcnyuma ya zito tupo wengi kiama chenu 2015 kwenye sanduku la kura
mpo wengi mliokula mihela ya Zitto na magamba na wewe gamba tu.nyuma ya zito tupo wengi kiama chenu 2015 kwenye sanduku la kura
Naomba niseme tu yaliyokuwa yanaendelea na yanayoendelea mpaka muda huu kuhusu kesi ya Zitto nje ya mahakama na hata kupitia baadhi ya vyombo vya habari, ni mkakati wa makusudi wa maadui wa CHADEMA wanaojifanya ni wapenzi na mashabiki wa Zitto wenye lengo la ku-influence mahakama itoe uamuzi unaolenga kumbeba Zitto.
Zitto kama Zitto hawezi kuwa na nguvu kiasi hiki na isitoshe jambo hili linahitaji matumuzi makubwa ya fedha na rasilimali watu.Huu bila shaka ni mkakati unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya siasa na matajiri "uchwara" kadhaa wa ndani ya nchi.
Haihitaji kuwa na degree kubaini ukweli huu bali ni swala la kusoma ushahidi wa kimazingira tu(circumstantial evidence)
CHADEMA,kwa sasa adui yenu si Zitto tu,bali adui yenu mkubwa ni mtandao ulio nyuma ya Zitto.[/QUOTE
Adui mkubwa na wa hatari sana wa CDM ni Uongozi wa CDM pamoja na vijana wasiojitambua na wasio na kazi wa CDM ambao wamejipachika "uintelijensia". Adui mkubwa wa CDM yupo ndani ya CDM, na si ZZK, si CCM, si CUF,si TISS,si Lowassa.
Naomba niseme tu yaliyokuwa yanaendelea na yanayoendelea mpaka muda huu kuhusu kesi ya Zitto nje ya mahakama na hata kupitia baadhi ya vyombo vya habari, ni mkakati wa makusudi wa maadui wa CHADEMA wanaojifanya ni wapenzi na mashabiki wa Zitto wenye lengo la ku-influence mahakama itoe uamuzi unaolenga kumbeba Zitto.
Zitto kama Zitto hawezi kuwa na nguvu kiasi hiki na isitoshe jambo hili linahitaji matumuzi makubwa ya fedha na rasilimali watu.Huu bila shaka ni mkakati unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya siasa na matajiri "uchwara" kadhaa wa ndani ya nchi.
Haihitaji kuwa na degree kubaini ukweli huu bali ni swala la kusoma ushahidi wa kimazingira tu(circumstantial evidence)
CHADEMA,kwa sasa adui yenu si Zitto tu,bali adui yenu mkubwa ni mtandao ulio nyuma ya Zitto.
Acha woga! ZITTo aliwaonya sana, mkajifanya vichwa maji! Muli-undersestimate nguvu ya ZITTO! Subiri matokeo tu!
Naomba niseme tu yaliyokuwa yanaendelea na yanayoendelea mpaka muda huu kuhusu kesi ya Zitto nje ya mahakama na hata kupitia baadhi ya vyombo vya habari, ni mkakati wa makusudi wa maadui wa CHADEMA wanaojifanya ni wapenzi na mashabiki wa Zitto wenye lengo la ku-influence mahakama itoe uamuzi unaolenga kumbeba Zitto.
Zitto kama Zitto hawezi kuwa na nguvu kiasi hiki na isitoshe jambo hili linahitaji matumuzi makubwa ya fedha na rasilimali watu.Huu bila shaka ni mkakati unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya siasa na matajiri "uchwara" kadhaa wa ndani ya nchi.
Haihitaji kuwa na degree kubaini ukweli huu bali ni swala la kusoma ushahidi wa kimazingira tu(circumstantial evidence)
CHADEMA,kwa sasa adui yenu si Zitto tu,bali adui yenu mkubwa ni mtandao ulio nyuma ya Zitto.
nguvu ya zito ulyoiona wewe ni ipi,? wewe ni moja ya washamba katika siasa, uko kwa ajili ya watu/mtu badala ya kufuata sera za chama husika. use your head to think not ma------. hata mahakama itoe uamuzi gani tunachojua huyu mnafiki sio MEMBER WA M4C TENA! kama ni ngumu sana kuamini jitundike.