WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
ni hatari sana kum-underestimate adui yako wakati bado hata hamjaanza mapigano....mlimdharau Zitto mkidhani is a lone wolf...mtakoma
Mkuu hawa jama wameshafanya kila hapa nchini ni mali yao,zile kesi walizokuwa wanashinda kwa kuhonga pesa kutoka kule Marekani walidhani na hii ni nyanya tu,si unakumbuka isiku ya kwanza ya kesi walivyokuwa wanabeza na kukenua?!