Kesi ya Zitto kuhusu uchumi wa nchi itakuwa ni kesi ya kwanza na ya aina yake duniani

Wacha blabla. BoT walisema uchumi umekua 5.8% yeye kasema hiyo imepikwa uhalisia ni 0.1%. Alipataje? Alituma lagged data, ya July mwaka jana, kaiweka May, kalinganusha na ya July hii. Hana uzoefu; wala hajui; anajisemea tu. Kwa nini asibebe msalaba wake? Ni sawa na wewe una cheti cha kuzaliwa tarehe 10 Juni 1947 aje kichaa mmoja aseme cheti chako kimepikwa, eti uluzaliwa tare 7 Septemba 1957. Wewe hapo utajisikiaje? Tuache ushabiki, ni kosa kubwa.
 
Wacha blabla. BoT walisema uchumi umekua 5.8% yeye kasema hiyo imepikwa uhalisia ni 0.1%. Alipataje? Alituma lagged data, ya July mwaka jana, kaiweka May, kalinganusha na ya July hii. Hana uzoefu; wala hajui; anajisemea tu. Kwa nini asibebe msalaba wake? Ni sawa na wewe una cheti cha kuzaliwa tarehe 10 Juni 1947 aje kichaa mmoja aseme cheti chako kimepikwa, eti uluzaliwa tare 7 Septemba 1957. Wewe hapo utajisikiaje? Tuache ushabiki, ni kosa kubwa.
Na ni vipi kuhusu sukari?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kama wakimpeleka mahakamani hawawezi kumfungulia kesi ya mambo ya uchumi. Atafunguliwa kesi ya uchochezi: Lakini watasema maneno yake yanaweza kusababisha chuki kati ya serikali na wananchi nk...
 
Inaonekana huelewi wewe!!!! Takwimu dunia nzima zinatolewa na mtakwimu mkuu kwa wakati uliopangwa na huwa zinatolewa katika vyombo vya habari kama mfumko wa bei etc (nbs.go.tz).

Kila kitu kina msemaji wake hata kaya ina mkuu wa kaya ambaye ndiye msemaji wake na nbs ndiyo msemaji wa takwimu kama ilivyo msemaji wa ACT ni Zitto. Nakuomba ukubali kuelimishwa baadala ya kug'ang'ania fikra zako ambazo ni potofu. Aidha unadai takwimu ni kama mahesabu nakueleza hapana si sawa na mbili kuongeza mbili ni nne. Hivi nisije kuwa nawasiliana na mtu ambaye hataki kuelewa maana unaweza kumlazimisha ng'ombe kuvuka mto lakini si kunywa maji. Elimu ni sawa na kunywa maji
Acha uongo...dunia nzima ipi?
 
Ukisoma hiyo para ya kwanza tu utajua mleta mada anayo yafuatayo katika bandiko lake zima;

1. Ni shabiki wa Zito,

2. Ni shabiki wa ukawa.

3. Halewi kiini cha mashtaka ya zito.

4. Haifahamu sheria iliyotumika kumshtaki zito.

Hivyo bandiko zima , ni pumber tupu.
Wewe shabiki wa wapi?Kiini cha mashtaka ya Zitto kilianzia kwenye agizo lililotolewa pale LITHULI
 
Ukisoma hiyo para ya kwanza tu utajua mleta mada anayo yafuatayo katika bandiko lake zima;

1. Ni shabiki wa Zito,

2. Ni shabiki wa ukawa.

3. Halewi kiini cha mashtaka ya zito.

4. Haifahamu sheria iliyotumika kumshtaki zito.

Hivyo bandiko zima , ni pumber tupu.
581d8d3b0aff274f5135ea85d24aa7d8.jpg
akili zako na ccm wenzako kma za mbwa
 
Mkuu leonaldo
Kwa bahati mbaya hapa JF tunajifanya wajuaji wa kila kitu. TAKWIMU za nchi si kitu cha kuchezewa ndiyo maana kila nchi kuna sheria za kulinda takwimu za nchi zake. Yeye hakuwa anajadili ila alikuwa anapotosha. Tufike pahala tuache siasa katika vitu vya msingi
Naomba mniambie,je ni kweli 2015 bei ya sukari ilikuwa 5000/-???
Hizi nazo ni TAKWIMU
Zitto alikuwa hatoi maoni,Alikuwa akitumia takwimu za uwongo kuchochea wananchi na donors waichukie serikali.Mfano chukulia gazeti lillloandika asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARV.Huko sio kutoa maoni ni kutumia takwimu za kujipikia kuharibu nchi ili wawekezaji wajue kuwa watanzania wengi wanaumwa ukimwi kwa kila watanzania 7 watatu ndio wazima!!! Zitto hakuwa akitoa maoni kwa takwimu halisia zilizopo alipika za kwake.Mpika takwimu na mtoa maoni kwenye takwimu halisia ni watu wawili tofauti
 
Unajua maana ya Amiri Jeshi ?

Mtu anachochea chuki baina ya Wananchi na Serikal Yao aachwe tu kwa kigezo cha Uhuru ?
Mnachekesha kweli
Mtu anayedharau mahakama na kuvunja nyumba za watu wa kimara na kuwasamehe wa Mwanza nae unamuweka kundi gani?
 
Inaonekana huelewi wewe!!!! Takwimu dunia nzima zinatolewa na mtakwimu mkuu kwa wakati uliopangwa na huwa zinatolewa katika vyombo vya habari kama mfumko wa bei etc (nbs.go.tz).

Kila kitu kina msemaji wake hata kaya ina mkuu wa kaya ambaye ndiye msemaji wake na nbs ndiyo msemaji wa takwimu kama ilivyo msemaji wa ACT ni Zitto. Nakuomba ukubali kuelimishwa baadala ya kug'ang'ania fikra zako ambazo ni potofu. Aidha unadai takwimu ni kama mahesabu nakueleza hapana si sawa na mbili kuongeza mbili ni nne. Hivi nisije kuwa nawasiliana na mtu ambaye hataki kuelewa maana unaweza kumlazimisha ng'ombe kuvuka mto lakini si kunywa maji. Elimu ni sawa na kunywa maji
Takwim za bei ya sukari iliyokuwa 5000/- mwaka 2015 zinapatikana wapi?
 
Nashukuru kwa mchango wako mkuu,lakini usiwe mwepesi kukata tamaa unapodhani uko kwenye njia sahihi na unaelimisha sio mimi tu wapo wengi waliofaidika,na kuchokonoa ndio chanzo cha kupata undani thanks
Na awam hii HAIRUHUSIW KUCHOKONOA
 
Acha ushamba wewe usije ukawa upo kolomije, Takwimu kwa mwanasiasa ni ruksa kuikosoa serikali na hapo kwenye takwimu ndipo serikali huwahadaa wananchi lazima wanasiasa wawazindue watanzania hata kama CCM mtatumia mabavu kuficha mapungufu ya takwimu feki za CCM, ni ng’o Yupi kalazimishwa kuvuka mto? Ng’ombe kwenye takwimu wanavuna wenyewe acheni Udikteta wenu.
Si kwa mwanasiasa tu,hata kwa raia wa kawaida,mtafiti au mtu yeyote
 
Mkuu leonaldo
Kwa bahati mbaya hapa JF tunajifanya wajuaji wa kila kitu. TAKWIMU za nchi si kitu cha kuchezewa ndiyo maana kila nchi kuna sheria za kulinda takwimu za nchi zake. Yeye hakuwa anajadili ila alikuwa anapotosha. Tufike pahala tuache siasa katika vitu vya msingi
sio kweli,tupe mifano miwili tu ya nchi hizo na vifungu vyake vya kisheria vinavyolinda Takwimu;elewa tunaishi kwenye nchi yenye udikiteta na kwa taarifa yako nchi nyingi zina sheria ya uhuru wa habari yaani unaweza kwenda mahakamani kuilazimisha serikali kutoa habari/takwimu unazozihitaji ni muda mrefu sijamsikia mkuu wangu wa jeshi la polisi au waziri wa mambo ya ndani akitoa takwimu kuhusiana na uhalifu ndani ya nchi yangu(hii ni haki yangu kujua),au Gavana mkuu akitoa takwimu kuhusiana na currency yetu ilivyo katika soko letu ,sijamsikia mkuu wa takwimu wa taifa akielezea kuhusu uchumi wa nchi ulivyo,hali ya ajira nchini ipo vipi,inflation rate ipo vipi,na mbaya zaidi tunaishi kwenye junky status country.
 
Kumbe weshazoea kutupumbaza wananchi kwa takwimu za kupika na kupotosha ili tuichukie serikali na ccm kwa manufaà yao! Kwa JPM mmeulà wa chuyà.
 
sio kweli,tupe mifano miwili tu ya nchi hizo na vifungu vyake vya kisheria vinavyolinda Takwimu;elewa tunaishi kwenye nchi yenye udikiteta na kwa taarifa yako nchi nyingi zina sheria ya uhuru wa habari yaani unaweza kwenda mahakamani kuilazimisha serikali kutoa habari/takwimu unazozihitaji ni muda mrefu sijamsikia mkuu wangu wa jeshi la polisi au waziri wa mambo ya ndani akitoa takwimu kuhusiana na uhalifu ndani ya nchi yangu(hii ni haki yangu kujua),au Gavana mkuu akitoa takwimu kuhusiana na currency yetu ilivyo katika soko letu ,sijamsikia mkuu wa takwimu wa taifa akielezea kuhusu uchumi wa nchi ulivyo,hali ya ajira nchini ipo vipi,inflation rate ipo vipi,na mbaya zaidi tunaishi kwenye junky status country.
Kama hujui uliza. Soma Statistical act ya Canada uone na adhabu zake: Statistics Act soma na ya India Collection of Statistics Act, 1953 | Ministry of Statistics and Program Implementation | Government Of India tafuta na ya Marekani google acha uvivu
 
Sizonje ndo anaongoza Serikali, Mahakama, Bunge pamoja na majeshi yote likiwemo jeshi la polisi. Hakuna tena matumizi ya kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa/kutungwa na nchi isipokuwa kanuni, taratibu na sheria zinazotumika ni zile zinazopendekezwa na dikteta Sizonje.
 
Back
Top Bottom