Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,884
- 3,910
Lazima apewe kibali cha kuendeleza(kulinda)kipaji chake,kumbuka OKWI.Kesi itaendelea lakini kwa wakati huo mchezaji lazima aendeleze kipaji chakeUnapotosha mkuu
Mchezaji anapokuwa na mgogoro haruhusiwi kuchezeshwa hadi mgogoro uamuliwe kisheria
Tulia utaona mwenyewe hukumu itakavokuwa