Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Kesi iliyofunguliwa na Wabunge Mamluki , Wasaliti walionunuliwa , dhidi ya CHADEMA inaendelea Mahakamani , Ambapo leo ni zamu ya Msaliti wa Karatu Cecilia Pareso.
Kama kawaida Wakili Msomi Peter Kibatala Anaendelea kumsulubu huyu mama kwa kumtandika maswali magumu bila huruma yoyote , Mama wa watu anaonekana kutetemeka.
Ngoja tuendelee kusubiri.
Kama kawaida Wakili Msomi Peter Kibatala Anaendelea kumsulubu huyu mama kwa kumtandika maswali magumu bila huruma yoyote , Mama wa watu anaonekana kutetemeka.
Ngoja tuendelee kusubiri.