Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
- Thread starter
- #21
Kwi! Kwi! Kwi!MATIKO AACHANA NA MAGWANDA RASMI. ACHOSHWA NA USWAHILI WA CHADEMA. SASA NI SUALA LA MUDA KUJIVUA UANACHAMA.
Kwi! Kwi! Kwi!MATIKO AACHANA NA MAGWANDA RASMI. ACHOSHWA NA USWAHILI WA CHADEMA. SASA NI SUALA LA MUDA KUJIVUA UANACHAMA.
Kilaza ktk ubora wakehivi kwa nini hawali mvua tu hawa wahuni mpaka sasahivi wakati walisababisha kifo cha akwilina ? wanacheza na maisha ya watu hawa
Kipi kimejiri sasa kwenye huko kufurika huko mahakamaniView attachment 1117373
View attachment 1117374
View attachment 1117375
View attachment 1117376
Mytake : Msiogope .
Shetani hajawahi kumshinda Mungu mahali popote na wala kwenye jambo lolote .
Wewe ni kifutu mpya ?Kipi kimejiri sasa kwenye huko kufurika huko mahakamani
Genge la wahuni maskini mtoto wa watu hakuwa na nia ya kuingia kwenye vurugu za misukule wa ukawa ina uma sana mahakama itende haki mbowe na genge lake la sacccos wanao wahadaa wananchi,sijui kwanini hiyo risasi haikumpata mbowe hata kwa bahati mbaya au lile jambazi la arusha lema.hivi kwa nini hawali mvua tu hawa wahuni mpaka sasahivi wakati walisababisha kifo cha akwilina ? wanacheza na maisha ya watu hawa
Kwanini unahangaika na watu wenye kufikiri kimagumagu? Kwani wanaoenda kumuona mgonjwa sibitali akifa wanaenda nae kuzikwa pamoja?Hata Mandela alipopelekwa gerezani hakuambatana na mtu