The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 617
- 1,799
Kesi Na. 112/2018 inayowakabili Viongozi wakuu wa CHADEMA na baadhi ya wabunge katika Mahakama ya Kisutu Dar es salaam, leo imeaihirishwa hadi Desemba 23/2019, saa 3 asubuhi, Shahidi wa 6 (D.W.9) Ester Bulaya (Mb) akitakiwa kupeleka hati yake ya kusafiria ndani ya saa 2 leo hii.
Sababu nyingine ni Wakili wa upande wa utetezi Peter Kibatala kupata dharura ya kifamilia ambayo imepelekea kushindwa kufika Mahakamani leo.
Sababu nyingine ni Wakili wa upande wa utetezi Peter Kibatala kupata dharura ya kifamilia ambayo imepelekea kushindwa kufika Mahakamani leo.