jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
Kesi ya maandamano ya January 5,inayowakabili Viongozi wakuu wa CHADEMA, Mh Mweyekiti Taifa, Mh Katibu mkuu na wenzanke itaendelea kesho mahakama kuu Arusha, tujitokeze kwa wingi
Sisi tuliombali tutawasindikiza kwa sala.