Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,346
- 7,561
Nadhani urithi alioachiwa yeye na Wanawe Kutoka kwenye Kampuni ambazo Mengi alishiriki kumiliki Ni Shares zake tuu. Kuna mahali mahakama imejichanganya. Labda kama Hisa hazirithishwi.4. Je hao mashahidi hawakusaini hiyo mirathi ili kuupa nguvu huo wosia?...