Chigali wanataka kukwapua juu kwa juu. Wameungana wote wanamsaidia Dada yao achukue mali zake. Hawa watu wana roho ngumu sana. Hata makazini ni shida sana hawa jamaaMahakama ilitenda haki,
Hakuna asiyemfahamu Mengi na Mali zake,
Sote tunajua Mengi alikua na mke na watoto kabla.
Nchi nzima tunafahamu hayo,
Kwakua Mengi alikua mtu maarufu,
Sasa linapokuja Jambo jingine tofauti na hayo hapo juu lazima watu tujiulize.
6. Je Jackline Kama alikuwa na nia njema, kwa akili ya kawaida alishindwa kumshauri marehemu kuwa lazima wawepo wanafamilia wa upande wa marehemu ili washuhudie wosia huo?
Wapi huko tukapumzike MkuuAlishindwa kuwa smart kama mzazi mwenzie Jiwe. Mwenzie kajengewa hotel, kazi nzuri psssf na wadogo zake wameambulia nyumba, na kila mwaka barabara inayopita hotelini ilikuwa inaboreshwa tu.
Na kuwazuia watoto wa marehemu kwenda kumuona baba yao hospitali SAJACK NI JAMBAZI LA KIKE, MTU ANA KIHARUSI MARA UMPELEKE ZANZIBAR NA DUBAI KULA BATA..alisikika dada Mange akisema haya mara tu baada ya msiba.
Alikuwa na wazazi wenza wangapiAlishindwa kuwa smart kama mzazi mwenzie Jiwe
Hapa tunayageuza geuza maneno kama kutafiti ni nini kilisababisha wosia uwe na mapungufu hayo yote wakati marehemu alikuwa na wanasheria washauri nguli.
Je wosia huo ni wa kughushi?
Je waliokuja kutoa ushahidi walipangwa? Nk nk.
Hauwezi kuwa wosia wa kughushi, la tungeuona ule 'halisi' tulinganishe.... hadi hapo hatuwezi kudhani kuwa hakukuwa na WOSIA.
Kumbe unaifahamu hiyo Hotel ipo mbembezoni mwa ziwa inaitwa RBMashahidi wa utetezi ni watoto wawili wa Mengi na kaka ake.
1. Abdiel Alese Mengi
2. Regina Anchelita Mengi
3. Benjamin Abraham Mengi. (Kaka ake Regi Mengi)
Mashahidi wa waleta maombi (upande wa Jacqueline )
1. Sylivia Novatus Mushi (Katibu wa kampuni za IPP)
2. Florence Sawaya Msaki (katibu/msaidizi binafsi wa marehemu Mengi)
3. Grace Delicia Maleto (mhudumu wa mapokezi)
4. Benson Benjamin Mengi (mtoto wa Benjamin ambaye ni kaka ake Mengi)
-Kwa hiyo Jack aliamini Benson yuko tayari kugombana na baba ake kwa ajili ya kumtetea yeye aunt mpya.
-Kwamba Jack aliamini mashahidi wake ambao ni wachaga wanaweza kumtetea yeye na kuwatosa wachaga wenzao na tena ni maboss wao na ndugu.
Huyu dada si smart. Kama alikuwa na ushawishi huo kwa marehemu basi angeutumia kumuomba mtaji kufungua kampuni yake na angejiwekeza pembeni.
Alishindwa kuwa smart kama mzazi mwenzie Jiwe. Mwenzie kajengewa hotel, kazi nzuri psssf na wadogo zake wameambulia nyumba, na kila mwaka barabara inayopita hotelini ilikuwa inaboreshwa tu.
Kwani nitakuwa kapuku milele?Sure aisee ya nini kujitesa kutafuta mwanamke wa aina fulani mtu mwenyewe kapuku tu? Lol
Had ukaupate huo utajiri ni leo sasa😔!Kwani nitakuwa kapuku milele?
😂 😂 😂 😂Had ukaupate huo utajiri ni leo sasa😔!
Utani tu huu mkuu nimevimbiwa coca hapa😂 😂 😂 😂
Dah...
Kila siku unalia humu kuwa coca za sasa mbaya ila bado unakunywa tu!?... Ungana nami kwenye Apple Punch, hutajutia😀😀Utani tu huu mkuu nimevimbiwa coca hapa
Samahani...apple punch wanakunywaga wakubwa?? Mm kinywaj chochote chq juicy za dukan eti zilinishinda ..huwa nahis ladha mbaya ajabu..bora ninywe maji...afu sijui y mie hivyo vijuic naonaga kama vya watoto eti .we mwenyewe wajua soko kubwa ni madent...uzee huu ninywe apple punch? Aku..bora majiKila siku unalia humu kuwa coca za sasa mbaya ila bado unakunywa tu!?... Ungana nami kwenye Apple Punch, hutajutia😀😀