JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,389
- 9,664
Mtu huweka sell mda mwingine ili kupunguza hasira za watu.Mpka kufika hapa alipo ana case ya kujibu na ndo maana hakupewa hata mdhamana,acha mapenz ya moja kwa moja ivo mkuu,hata kama una mahaba nae bac jua ana kesi ya kujibu
Kesi yake iko jikoni Wala sio huko Arusha.