itajulikana tu watu bado wana mihemukowalimpora mparee laki 3.9 na thimu aina ya tecno! typical.
lkn pia kwnn huyo Sad I mean Saad hakuja dukani kwake na kukimbilia msikitini kama yeye sio mwivi?
itajulikana tu watu bado wana mihemukowalimpora mparee laki 3.9 na thimu aina ya tecno! typical.
lkn pia kwnn huyo Sad I mean Saad hakuja dukani kwake na kukimbilia msikitini kama yeye sio mwivi?
Wewe unaongea zama za mwendazake ulikuwa unawezwa kufanywa chochote na usishitaki popotewalimpora mparee laki 3.9 na thimu aina ya tecno! typical.
lkn pia kwnn huyo Sad I mean Saad hakuja dukani kwake na kukimbilia msikitini kama yeye sio mwivi?
inawezekana unachosema, sikatai.lkn kwann mtu apate mhaho hadi kujificha masjid?Wewe unaongea zama za mwendazake ulikuwa unawezwa kufanywa chochote na usishitaki popote
Pole mkuuMasikini sabaya Unaniachia mzigo wa mdogo wako wa Pamela
Well said MkuuDogo amepatikana, inaonekana alifanya manuva kuwanunua baadhi ya mashahidi na watu wa mahakama lakini wazee wa kazi wameusoma mchezo.
Sasa kaletewa hakimu 'maalumu', hapo aanze tu kusali na kutubu.
Kama hamna case hii inayoendelea ss iv n ibada mkuu?Hakuna kesi hapo.
Wengi hawajui nguvu iliyoko Nyuma ya Sabaya na wana puyanga tu.
Na mimi naomba nikuulize maswali yafuatayo ewe mwanafunzi wa sheria..HOJA HUJUBIWA KWA HOJA pia vivyo hivyo SHERIA HUJUBIWA KWA SHERIA
Interest zako na mtuhumiwa naomba yake pembeni
Naona shahidi anatoa gape kwa mtuhumiwa kujisafisha
1. Baada ya kupigiwa simu na kuona Kuna kitu hakiko sawa na akijua kuwa anafanya Biashara kwa risiti, au Ile simu ilijitambulisha kuwa n TRA na tatu kabisa simu ya mwisho ilkua ya vitisho na kumuamrisha Kama asipokuja ofisin kwake Kuna baya Litampata Sasa huyu shahidi 2 kwann asingepita polisi kutoa maelezo na kuomba msaada juu ya hilo ili wamoe ulinzi mpaka dukan kwake?
2. Baada ya tukio walienda kutoa ripoti kituo chochote Cha polisi?
Jamani mie ndo nimeanza masomo ya certificate ya SHERIA mwezi huu tar 1 hvyo wakubwa wa Sheria naomba mje huku mtuelekeze haya
mwizi anakamatwa na polisi au DC ??walimpora mparee laki 3.9 na thimu aina ya tecno! typical.
lkn pia kwnn huyo Sad I mean Saad hakuja dukani kwake na kukimbilia msikitini kama yeye sio mwivi?
Sabaya hachomoki, anachezea miaka 15 jailDogo amepatikana, inaonekana alifanya manuva kuwanunua baadhi ya mashahidi na watu wa mahakama lakini wazee wa kazi wameusoma mchezo.
Sasa kaletewa hakimu 'maalumu', hapo aanze tu kusali na kutubu.
Umbwa akiliwa na umbwa shida iko wapi?mwizi anakamatwa na polisi au DC ??
UVCCM ni majambazi full stop
shida iko wa majambazi wa uvccm.Umbwa akiliwa na umbwa shida iko wapi?
Shahidi wa pili katika Kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kupora fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni 3,159,000
wote kwa pamoja wakiwa na silaha walifanikiwa kumpora Bakari Msangi shilingi 390,000 na simu mbili na fedha za mauzo.sh, milioni 2,769,000 .
lilikuwa linatoa onyo kwa sabaya kuwa haponi maana kaharibu sana"MAMA MKANYE MWANAO".
Lile rungu sijaliona leo..!!
kwaiyo apo yupo kwenye sherehe wana kula biriani?Hakuna kesi hapo.
Wengi hawajui nguvu iliyoko Nyuma ya Sabaya na wana puyanga tu.
Kuna nguvu gani kwa wewe unaejua!?Hakuna kesi hapo.
Wengi hawajui nguvu iliyoko Nyuma ya Sabaya na wana puyanga tu.
Zege hailaliDogo amepatikana, inaonekana alifanya manuva kuwanunua baadhi ya mashahidi na watu wa mahakama lakini wazee wa kazi wameusoma mchezo.
Sasa kaletewa hakimu 'maalumu', hapo aanze tu kusali na kutubu.