Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Pumba tu unsongeaHivi kuwa mtanzania ni mpaka ushadadie udhalimu unaofanywa na serikali
Kumbukeni mlitulazimisha tuisapoti serikali wakati ilipokuwa mkwenye mkakati wa kumzulumu mkulima wa mbegu tukakataa.