Wana JF, Leo ilikuwa ni kesi ya Kamanda Kilewo na Wenzake katika Mahakama ya Wilaya Igunga.
Kilichojiri Mahakamani
Mwendesha mashtaka wa Serikali PP Mpimbwe amewasilisha nakala ya kukata rufaa mbele ya Mheshimiwa Milanzi, juu ya kesi ya Ugaidi iliyotupiliwa mbali na Mahakama Kuu.
Ni wazi kwamba kesi hii itakuja kwa ajili ya kutajwa, hadi hapo kikao cha Mahakama ya Rufaa kitakapotoa maamuzi.
Kesi hiyo imeahirishwa mpaka tarehe 7/2/2014
Kilichojiri Mahakamani
Mwendesha mashtaka wa Serikali PP Mpimbwe amewasilisha nakala ya kukata rufaa mbele ya Mheshimiwa Milanzi, juu ya kesi ya Ugaidi iliyotupiliwa mbali na Mahakama Kuu.
Ni wazi kwamba kesi hii itakuja kwa ajili ya kutajwa, hadi hapo kikao cha Mahakama ya Rufaa kitakapotoa maamuzi.
Kesi hiyo imeahirishwa mpaka tarehe 7/2/2014