Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Hii ndiyo Taarifa inayozagaa chini kwa chini, kwamba Jumuiya ya Kimataifa imemaliza ngwe yake kwenye kesi ya Ugaidi wa gharama nzito yenye kufikia kitita cha Tsh laki 6 inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu , na kugundua kwamba kesi hiyo ni ya kupikwa na ya uongo.
Taarifa zinaeleza kwamba Jumuiya hiyo ya Kimataifa imependekeza kwa serikali ya Tanzania kufuta kesi hiyo ya uongo haraka iwezekanavyo ili kuepusha uonevu usio na Tija yoyote kwa yeyote
Kuanzia sasa ni kwa uchache sana tutawaona wazungu hawa Mahakamani kwa vile shughuli walioifuata wamemaliza .