Kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake kuanza kusikilizwa Ijumaa na Jaji Mustapha Siyani

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,165
4,581
Kesi Na.16/2021, Makosa ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake inayomkabili mwenyekiti @freemanmbowetz na wenzake 3, itaanza kusikilizwa Ijumaa ya wiki hii, katika Mahakama Kuu, Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. Kesi hiyo, itasikilizwa na Jaji Mustapha Siyani.

IMG_20210908_184821.jpg
 
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
 
Muhimu mshtakiwa awe na amani na jaji atimize majukumu yake kwa kufuata sheria, sio maoni yake binafsi.
 
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juNyan
Poli jipya Nyani walewale.
 
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Hama nchi.
 
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Ombeni ajitoe kama inaruhusiwa kukataa majaji mfululizo na mpendekeze mlie na imani nae.
 
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Inapo fika mahali wananchi wana tilia shaka vyombo vya kutoa haki, kun kuwa na giza zito mbele. Hivi kweli mahakama imekubali kupakwa matope? Kisa kukinda serikali dhalimu?
Basi Mungu atakwenda kutupa haki
 
Kesi Na.16/2021, Makosa ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake inayomkabili mwenyekiti @freemanmbowetz na wenzake 3, itaanza kusikilizwa Ijumaa ya wiki hii, katika Mahakama Kuu, Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. Kesi hiyo, itasikilizwa na Jaji Mustapha Siyani.

View attachment 1929484

Hakuna kesi hapo, bali majizi ya kura yanaogopa katiba mpya., hivyo wanatumia mahakama zisizo huru kukomoa wanaotaka katiba mpya.
 
Back
Top Bottom