Myangu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 7,172
- 9,700
Asipotenda haki hii itakuwa kati ya reference mbaya ya kesi kuwahi kutokea nchini.Mkuu hakuna kitu kigumu na kinachotesa Nafsi Kama kutoa HUKUMU ambayo siyo ya HAKI na ipo kinyume na HaKI uku ukijua ninachofanya siyo HAKI. hii hukumu inachelewa sababu Kuna watu wanataka batili iwe HAKI.