Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake imetufumbua macho. Mahojiano ya polisi na watuhumiwa yawe yanarekodiwa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taifa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.
 
"siafu wamekazana, nyoka amekasirika.Siafu wakijishika, mshiko kushikamana,Kwamba wanampeleka, sultani wao bwana,Shimoni wanapofika, nyoka la kufanya hana,Siafu wamekazana, nyoka amekasirikaSiafu wanapofika, na nyoka wakikutana,Nyoka hawezi kufoka, huwa ametulizana,Ndipo nyoka huondoka, na wana wakilizana,Siafu wamekazana, nyoka amekasirikaKupo na kukanganyika, hilo na natujue sana,Nyoka anapoondoka, siafu hulaliana,Huuma hupumzika, hapo hakutafanana,Siafu wamekazana, nyoka amekasirika.Nyoka akishaondoka, na siafu hujazana,Shimoni wakipeleka, vyakula kutiliana" hayo ni maneno yake SAADAN KANDORO.
 
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taiafa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.
Hapo no mbali, ila PA kuanzia ni magari yote ya Polisi yawe na numba za usajili za kudumu basic
 
Wakat pekee ambapo itapatikana ahuen ni pale dunia ikipata tafsir iliyoshiba na maana ya neno NGUVU ZA KADRI!
 
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taiafa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.
Tena kuwe na CCTV camera pamoja na mashahidi wa kutosha
 
Huwa wanazificha japo gari zote zinausajili hata gari za ikulu zina no zake org tofauti na ile ngao
Sawa ila wanatuhumiwa sana, sheria iwazuie kuondoa plate numbas na kuweka magumashi, wenye nafasi zao waweke numba za kiraia ila known to database, hiki kificho kina madhara mengi ya dhuluma, kwa wenzetu wapo kwenye body cam! Huwezi kufanya chochote bila kuwa recorded kwa mini sisi tupo gizani!?
 
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taiafa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.
Polisi wajirekodi wakiwaingiza chupa za bia mgongoni watuhumiwa?
 
Sheria inataka mwenye wakili ahojiwe mbele ya wakili wake. Wenyewe wanatak gizani, waandike alaf usaini kwa lazima.upuuzi
 
Tena kuwe na CCTV camera pamoja na mashahidi wa kutosha
Mwanzisha thread amesema ukweli. Ila nina wasiwasi hata wakirekodi, bado watapata mwanya wa kumlazimisha mtu kusema wanachotaka. Wanaweza kumtesa kwanza halafu wakampeleka kwenye kurekodi huku wameshampa vitisho kuwa asiposema wanavyotaka watammaliza. Dawa ni kuwa na viongozi (siyo watawala) kama ilivyo sasa. Kiongozi wa kweli siku zote hataruhusu mambo kama haya. Na viongozi bora watapatikana kwa kuwa na mfumo mzuri wa wananchi kuwachagua. Kiongozi akishajua anawajibika kwa wananchi atawaheshimu na hatakubali wateswe.
 
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taiafa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.
Hawawezi kukubali,hasa ukizingatia jinsi hata hii katiba mbovu inavyoruhusu kuchezewa na walioapa kuilinda na kuitetea bado unaamini wajiumbue?
 
Tuhuma za askari polisi kutesa na kupiga watuhumiwa zimekithiri hapa Tanzania. Iwe ni kwa kesi ndogo hadi kubwa linapokuja suala la kuandika maelezo ya onyo ili yatumike mahakamani, watuhumiwa wanalalamika kupigwa na kuteswa. Na baadhi yao wamepata ulemavu na hata kupoteza maisha.

Kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe inaendelea. Lakini watuhumiwa wenzake na Mbowe wanalalamika kupigwa na kupata mateso makubwa. Hii ni kinyume na katiba ya JMT na hata sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 57. Ambacho kinataka maelezo ya polisi yachukuliwe kwa hiari bila shuruti.

Ni aibu kuwa na taiafa linalojinasibu kuwa ba bill of rights kwenye katiba yake alafu bado haki za binadamu zinavunjwa.

Hivyo ni bora kuwa na video Camera kila kituo cha polisi ili kurekodi maelezo ya watuhumiwa ili kusudi kusiwepo na habari za kutesana kama vile sio binadamu.

Kama Hakuna cha ku record watarekodi nn? Shida sio walisahau kurekodi, la hasha; hakukuwa Na cha ku record
 
Mwanzisha thread amesema ukweli. Ila nina wasiwasi hata wakirekodi, bado watapata mwanya wa kumlazimisha mtu kusema wanachotaka. Wanaweza kumtesa kwanza halafu wakampeleka kwenye kurekodi huku wameshampa vitisho kuwa asiposema wanavyotaka watammaliza. Dawa ni kuwa na viongozi (siyo watawala) kama ilivyo sasa. Kiongozi wa kweli siku zote hataruhusu mambo kama haya. Na viongozi bora watapatikana kwa kuwa na mfumo mzuri wa wananchi kuwachagua. Kiongozi akishajua anawajibika kwa wananchi atawaheshimu na hatakubali wateswe.
Sahihi lakini vituo vya polisi vinatakiwa viwe na CCTV camera kuonyesha nani anaingia na nani anatoka na saa ngapi?
 
Sawa ila wanatuhumiwa sana, sheria iwazuie kuondoa plate numbas na kuweka magumashi, wenye nafasi zao waweke numba za kiraia ila known to database, hiki kificho kina madhara mengi ya dhuluma, kwa wenzetu wapo kwenye body cam! Huwezi kufanya chochote bila kuwa recorded kwa mini sisi tupo gizani!?
Huku ni zaidi ya jehanamu
 
Back
Top Bottom