Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
- Thread starter
- #21
Uko nyuma sana ya mudaKwani nani kakwambia mbowe hafikishwi mahakamani. Kama unafikiri kuna mtu anamuogopa au anasingiziwa unajifurahisha tu. Naamini atafikishwa kujibu mashitaka na kesi itaamua kama ana makosa au hana makosa.