Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Ukweli ni kwamba Mbowe hakufikishwa Mahakamani ili kukwepa nguvu ya umma na jumuiya za kimataifa , hasa baada ya kuonekana dhahiri kwamba Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo .
Natoa wito kwa JF kuwa waangalifu wanapofuta nyuzi ama kuziunganisha , tuaminiane japo kidogo
Natoa wito kwa JF kuwa waangalifu wanapofuta nyuzi ama kuziunganisha , tuaminiane japo kidogo