Kesi ya Uchaguzi Tandahimba ni Leo: Watu wanaelekea mahakamani hapa Mtwara Mjini

Tunasubiri hukumu tuwe tayari kukubali maamuzi yoyote ya mahakama tusiwe kama jamaa zetu wa Arusha.
 
tatizo sio kukubali Ritz tatizo ni garama za kurudia uchaguzi ni hasara kwa taifa
zingejengwa shule,zahanati kibao kuliko kurudia uchaguzi
kama kusingekuwa na uchakachuaji na demokrasia ya kweli hakuna mtu angepoteza muda mahakamani

Tunasubiri hukumu tuwe tayari kukubali maamuzi yoyote ya mahakama tusiwe kama jamaa zetu wa Arusha.
 
nasikia mke kambania mmewe, kwa hiyo piga ua ni talaka tu. MTAFUTENI BABA PAROKO ASULUHISHE HII KESI YA NDOA. UNYUMBA UNATAABU KWELIKWELI
 
kesi za ndoa kiislamu huwa zinaamuliwa kwenye mahakama ya kadhi,naamini wamezingatia hilo
 
Ritz,Hukumu ya Mahakama inakubalika japo kila upande una haki ya kukata rufaa Mahakama ya juu kama kuna sababu za kufanya hivyo.Lakini kwa kesi moja ya ubunge huko Arusha hata ukiisoma kesho utaona kuwa Jaji alikuwa akitimiza maelekezo,na waliomwelekeza walishajitaja hadharani,RC na JK.
 
tatizo sio kukubali Ritz tatizo ni garama za kurudia uchaguzi ni hasara kwa taifa
zingejengwa shule,zahanati kibao kuliko kurudia uchaguzi
kama kusingekuwa na uchakachuaji na demokrasia ya kweli hakuna mtu angepoteza muda mahakamani

Mkuu, Ghaiama ya kunyimwa haki ni kubwa kubwa kuliko hayo unayoyafikiri!
 
Kesi za kwenye ndoa,hukumu ritz na katiba mpya mnaijua. Kwa hii wala msihofu mmeshinda,huyo ni mke wenu hana ujanja.
 
sawa mkuu nimeandika hapo
kama kusingekuwa na uchakachuaji na demokrasia ya kweli hakuna mtu angepoteza muda mahakamani
Mkuu, Ghaiama ya kunyimwa haki ni kubwa kubwa kuliko hayo unayoyafikiri!
 
nasikia mke kambania mmewe, kwa hiyo piga ua ni talaka tu. MTAFUTENI BABA PAROKO ASULUHISHE HII KESI YA NDOA. UNYUMBA UNATAABU KWELIKWELI
Mkuu Ngoiva, hapa baba Paroko haoni ndani, ni Mufti peke yake anaweza kusawazisha swala.
 
Back
Top Bottom