Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,070
Hawa Ng'humbi kupitia kwa wakili wake ameomba rufaa iondolewe mahakamani bila gharama.
Ilikuwa ni baada ya maombi aliyotoa mapema kwa Wakili wa mujibu rufani, kwamba aruhuhusiwe kuchomoa na asamehewe gharama za kesi hatua ya rufaa.
Ilikuwa ni baada ya maombi aliyotoa mapema kwa Wakili wa mujibu rufani, kwamba aruhuhusiwe kuchomoa na asamehewe gharama za kesi hatua ya rufaa.