Kesi ya Twaha Mwaipaya yaahirishwa baada ya IGP na wenzake kuingia Mitini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,587
217,977
Kesi iliyofunguliwa na Chadema Mahakama ya Dodoma dhidi ya IGP , AG na RPC wa Dodoma , ambao wanatuhumiwa kula njama ya kusigina katiba ya nchi , kwa kuamua kumkamata na kumshikilia Katibu Mwenezi wa Bavicha Twaha Mwaipaya kinyume cha sheria , imeahirishwa hadi 11/7/2022 baada ya washitakiwa wote wala mawakili wao kutoonekana Mahakamani .

Jaji ameona haingekuwa vema kusikiliza shauri hilo kwa upande mmoja (haifahamiki kifungu alichokitumia kuwaokoa washitakiwa hao amekitoa ibara ipi)

Chadema imepeleka shauri hilo mahakamani kulazimisha Mwaipaya atolewe mafichoni na ashitakiwe ama aachiwe huru .
 
Kesi iliyofunguliwa na Chadema Mahakama ya Dodoma dhidi ya IGP , AG na RPC wa Dodoma , ambao wanatuhumiwa kula njama ya kusigina katiba ya nchi , kwa kuamua kumkamata na kumshikilia Katibu Mwenezi wa Bavicha Twaha Mwaipaya kinyume cha sheria , imeahirishwa hadi 11/7/2022 baada ya washitakiwa wote wala mawakili wao kutoonekana Mahakamani .

Jaji ameona haingekuwa vema kusikiliza shauri hilo kwa upande mmoja (haifahamiki kifungu alichokitumia kuwaokoa washitakiwa hao amekitoa ibara ipi)

Chadema imepeleka shauri hilo mahakamani kulazimisha Mwaipaya atolewe mafichoni na ashitakiwe ama aachiwe huru .
Mbona Jeshi letu halitii Sheria bila Shuruti?
 
Utii wa sheria bila shuruti gharama ni sifuri hupotezi chochote

Mwambieni huyo Mwaipaya
alivunja sheria ipi?
Taratibu na hatua nyingne za kumkamata zilifatwa?
Baada ya kukamatwa hatua za kusomewa mashataka yaliosababisha kukamatwa kwake zilifanyika?
Kama kweli huyo mtu alivunja sheria na taratibu zote kufatwa mbona polisi na mawakili wao hawajajitokeza mahakamani kujibu Hilo shitaka?

Siku tukiweka mahaba ya uchama na uchawa wa uchama pembeni ndio tutajua kuna viujinga tunavishabikia ambavyo vinapaswa kukemewa
 
Kama hajavunja mbona Chadema wenzie wako huru ukiwemo wewe .Mbona uko free unadunnda mtaani.Kwa nini yeye tu?
kama amevunja Kwann hao wanao simamia hizo sheria hawakutokea mahakaman kuthibitisha Hilo ?na sio Kila anaekemea huu ujinga ni chadema huyu imenulikana Kwa sababu ni maarifu lakin kuna raia kibao wanabambikiwa kesi na mapolisi ili wawapige ela
 
Kesi iliyofunguliwa na Chadema Mahakama ya Dodoma dhidi ya IGP , AG na RPC wa Dodoma , ambao wanatuhumiwa kula njama ya kusigina katiba ya nchi , kwa kuamua kumkamata na kumshikilia Katibu Mwenezi wa Bavicha Twaha Mwaipaya kinyume cha sheria , imeahirishwa hadi 11/7/2022 baada ya washitakiwa wote wala mawakili wao kutoonekana Mahakamani .

Jaji ameona haingekuwa vema kusikiliza shauri hilo kwa upande mmoja (haifahamiki kifungu alichokitumia kuwaokoa washitakiwa hao amekitoa ibara ipi)

Chadema imepeleka shauri hilo mahakamani kulazimisha Mwaipaya atolewe mafichoni na ashitakiwe ama aachiwe huru .
Ina maana wanaidharau mahakama.
Mfano mzuri kabisa wa kutokuwepo na utawala bora.
 
Kesi iliyofunguliwa na Chadema Mahakama ya Dodoma dhidi ya IGP , AG na RPC wa Dodoma , ambao wanatuhumiwa kula njama ya kusigina katiba ya nchi , kwa kuamua kumkamata na kumshikilia Katibu Mwenezi wa Bavicha Twaha Mwaipaya kinyume cha sheria , imeahirishwa hadi 11/7/2022 baada ya washitakiwa wote wala mawakili wao kutoonekana Mahakamani .

Jaji ameona haingekuwa vema kusikiliza shauri hilo kwa upande mmoja (haifahamiki kifungu alichokitumia kuwaokoa washitakiwa hao amekitoa ibara ipi)

Chadema imepeleka shauri hilo mahakamani kulazimisha Mwaipaya atolewe mafichoni na ashitakiwe ama aachiwe huru .
Jaji kapewa maelekezo
 
kama amevunja Kwann hao wanao simamia hizo sheria hawakutokea mahakaman kuthibitisha Hilo ?na
Waache shughuli zao za maana kazini kwao waende kupoteza muda na mjinga asiyejitambua .Wataenda wakijisikia au wakiwa hawana majukumu ya maana
Kazi zao sio kushinda tu mahakamani kesi za kijinga kijinga kama hiyo.Kuna majukumu mengine makubwa ya kitaifa kuliko.ya wajinga jinga kama ya Mwaipaya
 
Back
Top Bottom