kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,115
- 16,013
Yupo mahakamani tujuavyo ukiwapo wewe!Gaidi alishazikwa kitambo na wewe unajua
Yupo mahakamani tujuavyo ukiwapo wewe!Gaidi alishazikwa kitambo na wewe unajua
Ushahidi WA huko mlete nyinyi mliosema mnakila kitu . Mbuzi nyieHizo camera Zikimuonyesha chairman akipanga mipango yake ya kigaidi uje utuletee na uzi pia!
Do your homework boy/girlhebu tutajie hiyo sheria, tafadhali.
homework gani sifuri wewe, hakuna sheria kama hiyo takataka we.Do your homework boy/girl
MnoSabaya alijipa majukumu mengi.
Halafu unajifanya umeokokahomework gani sifuri wewe, hakuna sheria kama hiyo takataka we.
Msouth Sudan Jambazi Sabaya anakula mvua nyingine Hahahahaha malipo ni hapa hapa.Hizo camera Zikimuonyesha chairman akipanga mipango yake ya kigaidi uje utuletee na uzi pia!
Umeacha ushoga au bado unachapwa?homework gani sifuri wewe, hakuna sheria kama hiyo takataka we.
Majani nyie mnaliwa na hao mbuzi!Ushahidi WA huko mlete nyinyi mliosema mnakila kitu . Mbuzi nyie
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
That young man is a real thug!Shahidi wa upande wa Jamuhuri wa kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita, Mroso ameshindwa kuendelea na kesi hiyo baada ya kuoneshwa video za CCTV za benki zinazoonesha akitoa kiasi cha shilingi milioni 90 ambacho alikikabidhi kwa Sabaya akihofia kupewa kesi ya uhujumu uchumi ama kupotezwa.
Waliompeleka mahakamani mbowe ndio wanatakiwa walete hizo unataka kama walivyozitoa hizi. Labda huelewi ni nani aliyezileta hizi za sabaya.Hizo camera Zikimuonyesha chairman akipanga mipango yake ya kigaidi uje utuletee na uzi pia!
Hivi kichwani zipo au umeamka na mataputapu yako!Kwa hiyo unyama wa Sabaya uko wapi kwa mtu anaetoa pesa zakw benki?
kuzaliwa kwako ni watu walikuwa wakifanya starehe zao ikawa 'bahati mbaya' imenasa!Ugaidi wa mbowe ni hatari kuliko wa Sabaya
Unawaza kwa kutumia Nini mkuu au huijui maana ya uhujumu uchumiKwa hiyo unyama wa Sabaya uko wapi kwa mtu anaetoa pesa zakw benki?
Yule branch manager alimshauri afungue account atakataa. Akapewa maburungutu kwenye box akatokomea nayo. Yaani kunua mgongo cha mwalimu aliyefundisha miaka 40 jamaa anakipata kwa kupiga cmu tu..Kuna sheria kuanzia kiasi Fulani lazima uombe polis wakulinde unapochukua hela,benk haikuuliza kama ana ulinzi halali au malipo yapitie akaunt?
CCM wauaji,90M anachukua bila aibu
Najua ,but kiroho Sabaya alisha futwa naomba elewa hivyo na Sina Cha kuongeza,Sabaya kakata rufaa mwenyewe au nawe umetoka usingizini.
sidhani yote haya yalitoka kwa marehemu babake !!Sabaya alijipa majukumu mengi.