Katika toleo moja la gazeti la Raia Mwema toleo no 148 la Agosti 25-31 2010 ilipotiwa kwamba mgombea wa Musoma vijijini Bw Nimrod Mkono amefikishwa TAKUKURU na uongozi wa CHADEMA kwa madai ya kumuhonga mgombea wao (CHADEMA) Bw Michael Makenji kiasi cha EURO 1000/- sawa na kama TZS 2000000/- ilidaiwa kuwa ushahidi upo na tena ni wa kisayansi na Bw Makenji alikiri kutokea kwa hali hiyo, lakini toka siku hizo sikuwahi kusikia tena chochote kuhusiana na kesi hiyo, kama kuna yeyote mwenye habari atujuze.