Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,033
- 23,873
Huyo wakili ni kilaza wa aina yake.Hajataja hata ibara ya Katiba au kifungu cha sheria inayompa mamlaka hayo!Serikali imeieleza Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa maamuzi yoyote yanayotolewa na Bunge hayaruhusiwi kuhojiwa na chombo chochote na kuomba pingamizi hilo likubaliwe na mahakama itoe uamuzi kwamba haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo na kuifuta kwa gharama.
Hayo yamesemwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Vicent Tango wakati akiwasilisha mapingamizi ya awali yenye hoja tano mbele ya jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Issa Maige katika kesi ya kikatiba namba 10/2020 iliyofunguliwa na Wakili Paul Kaunda anayeiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika wa Bunge, Job Ndugai ya kumtambua Cecil Mwambe kama Mbunge halali wa Ndanda.
Kesi hiyo imehairishwa hadi Mei 28, mwaka huu kwa ajili ya kutolewa uamuzi ambapo Jaji Maige amemuagiza mdaiwa wa pili Mwambe, kuwasilisha mahakamani hapo hati ya kiapo na kumpatia mdai.
#Mahakamani #SpikawaBunge #JobNdugai #Bunge #kesikikatiba #VicentTango
Duh, kwa hyo hakuna chombo cha kumdhibiti spika hata akavunja katiba ya nchi.duh tumekwisha.Nakubaliana na wewe kwa kiasi. Mahakama haiwezi kutengua maamuzi ya spika. Lakini inaweza kutoa tafsiri sahihi ya kikatiba/kisheria kuhusu jambo linalolalamikiwa. Kama kikatiba jambo alilofanya spika ni batili, spika ataamua mwenyewe cha kufanya.
Courts cannot entertain hypothetical issues.Serikali imeieleza Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa maamuzi yoyote yanayotolewa na Bunge hayaruhusiwi kuhojiwa na chombo chochote na kuomba pingamizi hilo likubaliwe na mahakama itoe uamuzi kwamba haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo na kuifuta kwa gharama.
Hayo yamesemwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Vicent Tango wakati akiwasilisha mapingamizi ya awali yenye hoja tano mbele ya jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Issa Maige katika kesi ya kikatiba namba 10/2020 iliyofunguliwa na Wakili Paul Kaunda anayeiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika wa Bunge, Job Ndugai ya kumtambua Cecil Mwambe kama Mbunge halali wa Ndanda.
Kesi hiyo imehairishwa hadi Mei 28, mwaka huu kwa ajili ya kutolewa uamuzi ambapo Jaji Maige amemuagiza mdaiwa wa pili Mwambe, kuwasilisha mahakamani hapo hati ya kiapo na kumpatia mdai.
#Mahakamani #SpikawaBunge #JobNdugai #Bunge #kesikikatiba #VicentTango
vyama Ni shida, mwingine 1.5 trillion kasunda kibindoni.wizi mtupuRemote ya Mbowe huongelei kabisaaa!! umetia pamba maskioni!! where is 8 Bilion??
Wewe ni mzito sana sana wa kuelewa au haujui kiswahili, nakushauri futa ulichoandika.Sasa wewe naye kama kipofu, aliyefuta ubunge wao ni mbowe anayewatetea wapiga kura waliowachagua ni Spika, ww unakwama wapi?? au una ugonjwa wa Spikaphobia?
Yaani kama hata maamuzi ya spika haya ruhusiwi kujojiwa sasa spika nin Mungu mwingine baada ya. Tume ya uchguzi. Hakuna haja ya kuwa na mahakama Tanzania. Kila mmoja ni untouchable
Sadly! Obviously kuna tatizo la kisheria/katiba. Anachofanya spika ni sawa na kumlazimisha mtu awe au aendelee kuwa mbunge wakati mwenyewe hataki.Duh, kwa hyo hakuna chombo cha kumdhibiti spika hata akavunja katiba ya nchi.duh tumekwisha.
Ngoja tusubiri maamuzi ya jaji uchwaraWanasheria uchwara wa bongo hata hili hamlioni?
Ibara ya 107(A)_1
Mbuzi jike wewSasa wewe naye kama kipofu, aliyefuta ubunge wao ni mbowe anayewatetea wapiga kura waliowachagua ni Spika, ww unakwama wapi?? au una ugonjwa wa Spikaphobia?
Inasikitisha sana, bila kuwa Na vyombo huru ikiwemo mahakama Ni hatari.katiba inavunjwa hovyohovyo mahakama IPO tuKw
Sadly! Obviously kuna tatizo la kisheria/katiba. Anachofanya spika ni sawa na kumlazimisha mtu awe au aendelee kuwa mbunge wakati mwenyewe hataki.
Inasikitisha sana, bila kuwa Na vyombo huru ikiwemo mahakama Ni hatari.katiba inavunjwa hovyohovyo mahakama IPO tuKw
Sadly! Obviously kuna tatizo la kisheria/katiba. Anachofanya spika ni sawa na kumlazimisha mtu awe au aendelee kuwa mbunge wakati mwenyewe hataki.
Tuwekee hicho kifungu hapa ndugu Na unukuu pia..Wanasheria uchwara wa bongo hata hili hamlioni?
Ibara ya 107(A)_1
Una maana yanayo lalamikiwa yapelekwe kwake anaelalamikiwa kama kwenye Animal Farm?; Weka kifungu cha katiba please.Hiyo ni kweli. Maamuzi ya Spika yanalalamikiwa kibunge siyo mahakamani!
Hiyo ni kweli. Maamuzi ya Spika yanalalamikiwa kibunge siyo mahakamani!
"Mamlaka yenye kauli ya mwisho ya utoaji haki katika jamuhuri ya Muungano itakuwa Ni mahakama"Inasikitisha sana, bila kuwa Na vyombo huru ikiwemo mahakama Ni hatari.katiba inavunjwa hovyohovyo mahakama IPO tu
Tuwekee hicho kifungu hapa ndugu Na unukuu pia..
Haki itatendeka kwa sababu Naibu Spika ndio atasikiliza hilo shauri!Unadhani haki inaweza kutendeka wakati Spika na majority ya wabunge ni kutoka chama tawala,?!
Mkuu John., Mbunge anakuwa Mbunge kwa mujibu wa katiba na anakoma kuwa Mbunge kwa mujibu wa katiba na siyo vinginevyoHiyo ni kweli. Maamuzi ya Spika yanalalamikiwa kibunge siyo mahakamani!
Kasoro Mbowe tu anayeruhusiwa kuvunja katiba kwa kukiuka ibara ya 13 ya haki ya kusikilizwa!!! wabunge wanafukuzwa kama mtu anaswaga kuku!!