Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,742
Kwenye sheria za mikataba, kuna kitu kinaitwa conclusion (winding up) of a contract.
Hiki kipengele kinaelezea jinsi gani mkataba unaweza kufika mwisho.
One way is by performance of contract. Yani hapa kila upande unapotimiza kile kilichokubaliwa kutimizwa, then mkataba utafika mwisho.Ila kuna hiki kipengele kinaitwa by the FRUSTRATION OF THE SUBJECT MATTER OF THE CONTRACT!
Hapa mkataba unaweza kufika mwisho iwapo kile kilichokubaliwa kwenye mkataba kitakuwa frustrated.
Mfano, wewe una harusi, ukakodi ukumbi kwa ajili ya harusi hiyo. Kabla ya siku ya harusi kufika, ule ukumbi ukawaka moto, kitendo cha ukumbi kuwaka moto, kinaitwa kisheria, 'frustration of the subject matter of the contract' hivyo mwenye ukumbi hawajibiki kulipa damages kwa kuvunja mkataba, sana sana labda akurudishie pesa yako ya advance.
Sasa ukija kwenye hii ndege ya 'Bwana Mataka', failure of the party to the contract to service the aircraft to make it an airworthy vessel (rendering it unfit for the purpose it was hired for) is enough evidence that the subject matter of the contract had been frustrated... And this amounts to the breach of condition... Making the whole contract voidable!
Sasa hapa itagegemea kwenye mkataba mama, walikubaliana kuwa ni jukumu la nani kufanyia matengenezo makubwa ndege hiyo. Iwapo jukumu lilikuwa ni la ATCL, basi hapo tutakuwa tumeliwa. Ila iwapo jukumu lilikuwa ni la hao waliotukodisha ndege, basi tutalamba dume na tutawashinda asubuhi na mapema.
Kesi hii ni rahisi sana kwa Tanzania kushinda, na wanasheria watakaozembea tukashindwa kesi nyepesi kama hii, wakirudi hapa nchini wacharazwe viboko!
Hiki kipengele kinaelezea jinsi gani mkataba unaweza kufika mwisho.
One way is by performance of contract. Yani hapa kila upande unapotimiza kile kilichokubaliwa kutimizwa, then mkataba utafika mwisho.Ila kuna hiki kipengele kinaitwa by the FRUSTRATION OF THE SUBJECT MATTER OF THE CONTRACT!
Hapa mkataba unaweza kufika mwisho iwapo kile kilichokubaliwa kwenye mkataba kitakuwa frustrated.
Mfano, wewe una harusi, ukakodi ukumbi kwa ajili ya harusi hiyo. Kabla ya siku ya harusi kufika, ule ukumbi ukawaka moto, kitendo cha ukumbi kuwaka moto, kinaitwa kisheria, 'frustration of the subject matter of the contract' hivyo mwenye ukumbi hawajibiki kulipa damages kwa kuvunja mkataba, sana sana labda akurudishie pesa yako ya advance.
Sasa ukija kwenye hii ndege ya 'Bwana Mataka', failure of the party to the contract to service the aircraft to make it an airworthy vessel (rendering it unfit for the purpose it was hired for) is enough evidence that the subject matter of the contract had been frustrated... And this amounts to the breach of condition... Making the whole contract voidable!
Sasa hapa itagegemea kwenye mkataba mama, walikubaliana kuwa ni jukumu la nani kufanyia matengenezo makubwa ndege hiyo. Iwapo jukumu lilikuwa ni la ATCL, basi hapo tutakuwa tumeliwa. Ila iwapo jukumu lilikuwa ni la hao waliotukodisha ndege, basi tutalamba dume na tutawashinda asubuhi na mapema.
Kesi hii ni rahisi sana kwa Tanzania kushinda, na wanasheria watakaozembea tukashindwa kesi nyepesi kama hii, wakirudi hapa nchini wacharazwe viboko!