BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Kumbe akuna naniiii..... Hakuna duka la Ndege. Mjinga weeee. Unatoa pesa wanakutengezee kwa nmna unavyotaka wewe. KIWANDANI SIO DUKANI. Ndege azitengezwi kama gari.order my frnd. Ndio maana imechukua muda toka tununueKama hujui omba msaada maana unaleta vitu ambavyo havipo zile ndege tumenunua kwa cash so it means ni zetu toka ziko kule na wale jamaa wametafuta sehemu ambapo tumeweka pesa zetu wakaziona izo ndege kwa iyo kinachotakiwa hapo ni kulipa deni tu hao wanasheria wanaongeza gharama tu kesi iko uchi kabisa ile