Kesi ya ndege ya Mataka (ATCL) Tutashinda mapema asubuhi!

Kwanza Ndege huyo bado IPO kiwandani. Na TANZANIA awajakabidhiwa. Kiwanda walitakiwa kuileta ngede na kuikabithi TANZANIA pale airport na marobani wao. Ndipo inakuwa ya TANZANIA
Kama ingekua ivo toka cjui may cjui July ndege imekamatwa na sisi tunaihitaji kwnn tusifungue kesi kwa icho kiwanda aseee by the way iyo ndege ni mali yetu na walioshikilia wamekamata mali yetu mchana kweupe
 
Kesi zote zilikua ni nyepesi kushinda ikiwamo ya samaki,lakin wanasheria wetu walikua wananunulika wanajifunga wenyewe basi mchezo unaisha.
Angalia suala la acacia,watu wameweka ngumu suluhisho limepatikana,ingekua enzi za JK au mkapa saa hizi tunasaga meno
Suluhisho lipi?
 
Tatizo la vijana wengi hawana ujuzi wa negotiation. Unazani mkikubaliana kulipwa utalipwa siku hiyohiyo, lazima kuwe na terms of payment. Sasa vijana mnaingiza siasa hata mahali ambapo apastahili.
Terms of payment kati yetu na acacia zikoje? Wanaanza kutulipa cc lini sasa?
 
watu hawajui aviation industry ila wanaropoka tu hiyo ndege bado haijakabiziwa kwa mteja aliyeweka-oda, so kuna oder and delivery so tulioda bado bombardier hawaja-ideliver so utaratbu mpaka wakuletee wenyewe kwa garama zao ndo unakuwa umeimiliki so hadi sasa Tanzania wanawadai Bombardier
 
Kwanza Ndege huyo bado IPO kiwandani. Na TANZANIA awajakabidhiwa. Kiwanda walitakiwa kuileta ngede na kuikabithi TANZANIA pale airport na marobani wao. Ndipo inakuwa ya TANZANIA
Mikataba ya kimataifa inasemaje? Ulijue hilo kwanza
 
Ukinunua buguruni. Ndipo unaweza ukakatwa na TRA pale mlagoni dukani. Ndege hipo kiwandani iweje ikamatwe wakati ujakabidhiwa. Ndio hoja ya TANZANIA kwa Wmkuu wa Canada. Ndege bado ijawa ya TANZANIA. Kama tunakumbuka zile za awali zililetwa na maribani wao. Na kukabithi.
Kama hujui omba msaada maana unaleta vitu ambavyo havipo zile ndege tumenunua kwa cash so it means ni zetu toka ziko kule na wale jamaa wametafuta sehemu ambapo tumeweka pesa zetu wakaziona izo ndege kwa iyo kinachotakiwa hapo ni kulipa deni tu hao wanasheria wanaongeza gharama tu kesi iko uchi kabisa ile
 
watu hawajui aviation industry ila wanaropoka tu hiyo ndege bado haijakabiziwa kwa mteja aliyeweka-oda, so kuna oder and delivery so tulioda bado bombardier hawaja-ideliver so utaratbu mpaka wakuletee wenyewe kwa garama zao ndo unakuwa umeimiliki so hadi sasa Tanzania wanawadai Bombardier
Tushafungua kesi ya kuwadai hao bombayadiya kwn?
 
Kesi zote zilikua ni nyepesi kushinda ikiwamo ya samaki,lakin wanasheria wetu walikua wananunulika wanajifunga wenyewe basi mchezo unaisha.
Angalia suala la acacia,watu wameweka ngumu suluhisho limepatikana,ingekua enzi za JK au mkapa saa hizi tunasaga meno
Suluhishoa gani? Acha siasa wewe
 
Waliongia hii mikataba ya hovyo si wako na fedha wanazo, sasa kama serikali iko inamaanisha basi ifidie hasara kwa kuchukua fedha/ na mali za wahusika hata kama zimesha faulishwa, serikali haina uwezo wa kujua ufaulishaji/uhaulishaji huo? Kama haitafanya hivyo basi iache mara moja kutucheza shere na maisha ya endelee.
 
Kesi zote zilikua ni nyepesi kushinda ikiwamo ya samaki,lakin wanasheria wetu walikua wananunulika wanajifunga wenyewe basi mchezo unaisha.
Angalia suala la acacia,watu wameweka ngumu suluhisho limepatikana,ingekua enzi za JK au mkapa saa hizi tunasaga meno
Una uhakika hapo kwenye nyekundu, unajua ni nini wazungu wametufanya? unajua kuwa tulitumia lugha yao katika maongezikwa hiyo inawezekana kuna sehemu nyingi hatujaelewa kabisa?
 
Aircraft Hire Terms & Conditions mpaka kwanza uzijue!

Kwenye aviation industry hakuna kitu kinaitwa Aircraft hire....bali kuna kitu kinaitwa dry lease or wet lease of Aircraft especially kwenye scheduled Airline operators
 
Kwenye sheria za mikataba, kuna kitu kinaitwa conclusion of the contract.
Hiki kipengele kinaelezea jinsi gani mkataba unaweza kufika mwisho.

One way is by performance of contract. Yani hapa kila upande unapotimiza kile kilichokubaliwa kutimizwa, then mkataba utafika mwisho.Ila kuna hiki kipengele kinaitwa by the FRUSTRATION OF THE SUBJECT MATTER OF THE CONTRACT!

Hapa mkataba unaweza kufika mwisho iwapo kile kilichokubaliwa kwenye mkataba kitakuwa frustrated.

Mfano, wewe una harusi, ukakodi ukumbi kwa ajili ya harusi hiyo. Kabla ya siku ya harusi kufika, ule ukumbi ukawaka moto, kitendo cha ukumbi kuwaka moto, kinaitwa kisheria, 'frustration of the subject matter of the contract' hivyo mwenye ukumbi hawajibiki kulipa damages kwa kuvunja mkataba, sana sana labda akurudishie pesa yako ya advance.

Sasa ukija kwenye hii ndege ya 'Bwana Mataka', failure of the part to service the aircraft to make it an airworthy vessel is enough evidence that the subject matter of the contract had been frustrated... And this amounts to the breach of condition... Making the whole contract voidable!

Sasa hapa itagegemea kwenye mkataba mama, walikubaliana kuwa ni jukumu la nani kufanyia matengenezo makubwa ndege hiyo. Iwapo jukumu lilikuwa ni la ATCL, basi hapo tutakuwa tumeliwa. Ila iwapo jukumu lilikuwa ni la hao waliotukodisha ndege, basi tutalamba dume na tutawashinda asubuhi na mapema.

Kesi hii ni rahisi sana kwa Tanzania kushinda, na wanasheria watakaozembea tukashindwa kesi nyepesi kama hii, wakirudi hapa nchini wacharazwe viboko!
The issue is whether failure to conduct maintenance of the aircraft amounts to frustration of the contract hapo ukikaa NA mimi Mahakamani utakoma jipange msidhani mahakamani ni First year au ni Law School
 
Hakuna kesi rahisi. Kesi inategemea pande zinazobishana.

Kesi rahisi zote hazijafika mahakamani. Watu wamemalizana.

Kushindwa kumalizana nje ya mahakama tu na kutafuta haki mahakamani ina maana kesi ina utata.

Usitake kuifanya rahisi kuliko ilivyo.
 
Kwani sheria za mkataba ni universal?
Sheria nyingi ni almost Universal! Ila pia mnaposainishana mkataba kuna kipengele cha jurisdiction ambayo itaamua disputes in case zinatokea. Ina maana kama kwenye mkataba walikubaliana kuwa Uingereza iwe ndiyo jurisdiction, basi zitatumika sheria za Uingereza.
 
Kwenye sheria za mikataba, kuna kitu kinaitwa conclusion (winding up) of a contract.
Hiki kipengele kinaelezea jinsi gani mkataba unaweza kufika mwisho.

One way is by performance of contract. Yani hapa kila upande unapotimiza kile kilichokubaliwa kutimizwa, then mkataba utafika mwisho.Ila kuna hiki kipengele kinaitwa by the FRUSTRATION OF THE SUBJECT MATTER OF THE CONTRACT!

Hapa mkataba unaweza kufika mwisho iwapo kile kilichokubaliwa kwenye mkataba kitakuwa frustrated.

Mfano, wewe una harusi, ukakodi ukumbi kwa ajili ya harusi hiyo. Kabla ya siku ya harusi kufika, ule ukumbi ukawaka moto, kitendo cha ukumbi kuwaka moto, kinaitwa kisheria, 'frustration of the subject matter of the contract' hivyo mwenye ukumbi hawajibiki kulipa damages kwa kuvunja mkataba, sana sana labda akurudishie pesa yako ya advance.

Sasa ukija kwenye hii ndege ya 'Bwana Mataka', failure of the party to the contract to service the aircraft to make it an airworthy vessel is enough evidence that the subject matter of the contract had been frustrated... And this amounts to the breach of condition... Making the whole contract voidable!

Sasa hapa itagegemea kwenye mkataba mama, walikubaliana kuwa ni jukumu la nani kufanyia matengenezo makubwa ndege hiyo. Iwapo jukumu lilikuwa ni la ATCL, basi hapo tutakuwa tumeliwa. Ila iwapo jukumu lilikuwa ni la hao waliotukodisha ndege, basi tutalamba dume na tutawashinda asubuhi na mapema.

Kesi hii ni rahisi sana kwa Tanzania kushinda, na wanasheria watakaozembea tukashindwa kesi nyepesi kama hii, wakirudi hapa nchini wacharazwe viboko!
Title na conclusion ni ardhi na anga
 
Back
Top Bottom