Kesi ya Mramba, Yona kuendelea kusikilizwa leo........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Gazeti la Nipashe linaripoti ya kuwa kesi ya Basili Pesambili Mramba na wenzake itaendelea kusikilizwa leo hii.......................Hii ni kesi ya kutoa zabuni kwa kampuni ya kuhakiki dhahabu bila ya kufuata sheria ya manunuzi ya huduma za umma.......
 
Back
Top Bottom