Naomba mwenye kumbu kumbu kuhusu ile kesi iliyokua inanguruma sana wakati wa Mrema kuhusu rushwa ya million 900 dhidi ya Mkapa na serikali yake iliishia wapi?
Naomba mwenye kumbukumbu atujulishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.