Kesi ya mbunge wa Arusha, Godbless Jonathan Lema, mwanasheria Tundu Lissu amesoma alama za nyakati?

Cybercrime

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
3,246
1,113
Nakumbuka Naibu Katibu Mkuu, Salimu Mwalimu alitangaza kuwa Wanasheria wa Chadema, Tundu Lissu na Peter Kibatala walitakiwa kwenda ARUSHA kuongeza nguvu katika kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

TUNDU Lissu na Peter Kibatala walikuwa wanakwenda kuungana na mawakili John Mallya, Adam Jabir, Sheck Mfinanga, Faraji Mangula na Charles Adiel ili kuhakikisha Lema anapata dhamana.

Tundu Lissu ameingia mitini kwenye kesi hii, Je kama wakili mzoefu ameona hali ya kesi imekaa vibaya na kwamba uwezekano wa Lema kuchomoka ni mdogo na hivyo ameamua kujiepusha na aibu ya kushindwa? Au naye ameanza kumchoka Lema?
 
Nakumbuka Naibu Katibu Mkuu, Salimu Mwalimu alitangaza kuwa Wanasheria wa Chadema, Tundu Lissu na Peter Kibatala walitakiwa kwenda ARUSHA kuongeza nguvu katika kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema. TUNDU Lissu na Peter Kibatala walikuwa wanakwenda kuungana na mawakili John Mallya, Adam Jabir, Sheck Mfinanga, Faraji Mangula na Charles Adiel ili kuhakikisha Lema anapata dhamana.
Tundu Lissu ameingia mitini kwenye kesi hii, Je kama wakili mzoefu ameona hali ya kesi imekaa vibaya na kwamba uwezekano wa Lema kuchomoka ni mdogo na hivyo ameamua kujiepusha na aibu ya kushindwa? Au naye ameanza kumchoka Lema?

Kilichotokea Arusha wala si suala la Lissu au Kibatala,ni swala la MAHAKAMA zetu kujitafiti na kujielewa.Wakati asubuhi inakaribia unaiona kwa macho,kama hajaona dalili za kuporwa madaraka yao ya kimahakama basi nawaone huruma.
 
watamchoka vipi lema wakati anawapa kula kwa kesi..sema kwa sasa anajikamatisha kesi za ovyo. tangu ameanza hizi kesi za maono na kuja mahakamani na biblia imekua shida kwa wanasheria. ili lema achomoe itabidi waombe kuthibitisha mahakamani kama mteja wao amechanganyikiwa akili.
Nakumbuka Naibu Katibu Mkuu, Salimu Mwalimu alitangaza kuwa Wanasheria wa Chadema, Tundu Lissu na Peter Kibatala walitakiwa kwenda ARUSHA kuongeza nguvu katika kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema. TUNDU Lissu na Peter Kibatala walikuwa wanakwenda kuungana na mawakili John Mallya, Adam Jabir, Sheck Mfinanga, Faraji Mangula na Charles Adiel ili kuhakikisha Lema anapata dhamana.
Tundu Lissu ameingia mitini kwenye kesi hii, Je kama wakili mzoefu ameona hali ya kesi imekaa vibaya na kwamba uwezekano wa Lema kuchomoka ni mdogo na hivyo ameamua kujiepusha na aibu ya kushindwa? Au naye ameanza kumchoka Lema?
 
Kilichotokea Arusha wala si suala la Lissu au Kibatala,ni swala la MAHAKAMA zetu kujitafiti na kujielewa.Wakati asubuhi inakaribia unaiona kwa macho,kama hajaona dalili za kuporwa madaraka yao ya kimahakama basi nawaone huruma.
tunajua ili Mahakama zionekane zinajielewa sharti CHADEMA washinde kesi. Upuuzi mtupu
 
Wakati wa kesi ya Wenje alisema ataacha ubunge kama atashindwa kesi!Sasa kwa Lema ngoma imekaa vibaya, atajificha wapi akishindwa kesi?
 
Mm naona lema avuliwe ubunge bcz hatukumchagua akase rais atakufa sjui ajui kuwa huyo ndio rais wa watanzania akuna chochote anae tufanye watu wa Arusha huyo
 
tunajua ili Mahakama zionekane zinajielewa sharti CHADEMA washinde kesi. Upuuzi mtupu

Ila zinapokuwa kesi za uhujumu uchumi na makda wa CCM lazima wapewe dhamana japo sheria ianelekeza kutoruhusu dhamana kwa wahujumu uchumi hasa likija suala la tembo.

Kwa kesi za kubambikiza ndiyo mnaona sawa.Huyo Hakimu aliogopa kimemo.Kasikilize malumbano ya jana ya wanasheria.Tena huyo hakimu hastahili hata kuwa hakimu wa kata
 
Wakati wa kesi ya Wenje alisema ataacha ubunge kama atashindwa kesi!Sasa kwa Lema ngoma imekaa vibaya, atajificha wapi akishindwa kesi?

Acha uwong,tena alisema vyema kabisa hajawahi kuwa wakili wa Wenje.UVCCM mmezoea uongo kama watawala wenu
 
Hahahahahaaaaaaa! Lissu anatafuta kesi zenye mtremko hasa zile zinazofanyika pale Kisutu. Hizi nyingine si size yake
Acha unaa wewe! Lisu yuko Musoma kwenye kesi akiyoanza nayo ya Wassira.
BTW, vipi kuhusu tuzo ya FORBES sherehe zinaendeleaje? Nasikia mpaka kwenye website ya chama munemuweka mshindi wenu kwa Ku quote TV ya KTN
 
Nakumbuka Naibu Katibu Mkuu, Salimu Mwalimu alitangaza kuwa Wanasheria wa Chadema, Tundu Lissu na Peter Kibatala walitakiwa kwenda ARUSHA kuongeza nguvu katika kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema. TUNDU Lissu na Peter Kibatala walikuwa wanakwenda kuungana na mawakili John Mallya, Adam Jabir, Sheck Mfinanga, Faraji Mangula na Charles Adiel ili kuhakikisha Lema anapata dhamana.
Tundu Lissu ameingia mitini kwenye kesi hii, Je kama wakili mzoefu ameona hali ya kesi imekaa vibaya na kwamba uwezekano wa Lema kuchomoka ni mdogo na hivyo ameamua kujiepusha na aibu ya kushindwa? Au naye ameanza kumchoka Lema?
Yote mawili ni majibu kabisa
 
Back
Top Bottom