Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,188
- 12,364
Hongera Mr Kisena# Utamu wa madarakaMbowe ni gaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
Hongera Mr Kisena# Utamu wa madarakaMbowe ni gaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
Hakuna mahakama hapo hilo ni tawi kuu la CCMVyovyote iwavyo:
1. Majaji wote wa kesi hii mpaka sasa Pigia mstari Mpaka sasa- wameonesha uwezo hafifu sana wa kutafsiri sheria zetu
2. Uwezo wa msimamizi wa hawa majaji nao uko kikaangoni.
3. Mwalimu wa majaji hawa ni nani haswa ili tujue uwezo wake au labda na yeye ana elimu ya kuunga unga?
4. Jaji hawezi amua kielelezo hakifai na ilihali alisha amua huko nyuma nini kinafaa na nini kifanyike
5. Ni kushusha hadhi ya mahakama na kuwafanya majaji wetu wote ni vihiyo kitu ambacho si kweli
6. Jaji kiongozo hapo ulipo ujitafakari sana.
7. Maelezo ya onyo CPA 169 kifungu 3- serikali/Jamuhuri inatakiwa kuthibitisha kwamba maelezo yalikuwa halali- Whoever alleges , has the onus to prove and si vingibevyo
8. Watuhumiwa wote wanasema maelezo yao yalichukiwa sehemu moja, barua hiyo ingewafanya Jamuhuri walete vithibitisho maana ni kazi yao ku- prove and kudisi-prove na yanayosemwa na watuhumiwa- hii ndio njia pekee ya mahakama kulinda haki za mtumiwa. Mahakama iko pale kulinda haki za watu wote ikiwemo washtakiwa na washtaki.
9. mahakam ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwa summons (subponea) ili aje atoe ushahahi wa kile kinachosemwa au kuharalishwa documents za ushadihidi ziletwe mahakamani, sasa ni kwa ni ni huyu Tiganga kama si kihiyo asifanye hivyo ili kutatua kesi hii katika suala hili la diocuments na chain of custody?
10. Unaficha chain of custody ya polisi kwa maana gani haswa ? Iletwe na tuwajue pia mbona unawakingia kifua hao Polisi?
11. Tiganga (sukuiti Mheshima maana kwa maamuzi yako mpaka sasa, huo uheshimiwa haukufai), uwezo wako mdogo unazichafua mahakama zetu katika jumuia ya kimataifa- amua kwa haki, kisheria na kama common law legal system inavyo kutaka.
12. Fursa ya judge ni kuwa referee wa haki lakini mpaka sasa unaonekana ni referee wa upande mmoja, ni dhambi hata mbele ya Muumba wako-Jitafakari maana huna zaidi ya miaka 70 ya kuishi toka sasa, huko mbeleni utajibu nini mbele ya mtenda haki mkuu... Mola Muumba wako?
13. Mwishio-haya ni Maoni yangu, Povu ruksa kama mtanzania ninaye practice sheria katika mahakama za kimataifa, Judge asema documemt haikufuata chain of custody ... Ni kweli kwamba two wrongs do not make it right. Kwa nini sasa unazuia chain of custody ya police isijulikane... Unawasaidia kuficha nini hawa police?
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka kwa walimwengu wote hata wale wasio kuwa na interest na kesi hii, ikiwemo mimi binafsi...
Uteuzi wa majaji inabidi uangaliwe upya na sifa isiwe urafiki, ukoo, kujuaana, udini na ukabila iwe ni uwezo wa mtu na afanyiwe interview kwenye publicKwenye hii kesi kama jaji tayari anayo hukumu mfukoni, lazima ataonekana kilaza tu. Makombola wanayolusha mawakili wa utetezi sio ya karne hii
Ile barua ya Ling'wenya aliyotaka mahakama iipokee kama kielelezo cha ushaidi wake, imemchora vibaya sana jaji na Mahakama yake
Na hili kombola lililolushwa jana na shaidi wa pili wa upande wa utetezi si la kitoto hata kidogo, litampa shida sana jaji na mawakili wa jamuhuri.
Kwa kifupi mawakili wa upande wa utetezi wamejipanga vizuri sana na Inavyoelekea kuna makombola mengi sana ya hatari yanasubili kufyatuliwa. Hii kesi tutashuhudia mambo mengi sana ambayo yataleta aibu kwa Serikali, Jaji na mahakama
Tatizo majaji wanapokea maelezo kutoka juu. Ata ukifanya uteuzi wa namna gani itakuwa ni kazi bure tu. Hapo suluhisho ni Katiba mpya tuUteuzi wa majaji inabidi uangaliwe upya na sifa isiwe urafiki, ukoo, kujuaana, udini na ukabila iwe ni uwezo wa mtu na afanyiwe interview kwenye public
CCM ndiyo hawataki hilo litokeeTatizo majaji wanapokea maelezo kutoka juu. Ata ukifanya uteuzi wa namna gani itakuwa ni kazi bure tu. Hapo suluhisho ni Katiba mpya tu
Hata mm pia nahojiAcha kusemea watanzania wote, specify! Sema wewe unahoji!
Hana huo uwezo mkuu.soma hizo nondo kabla ya povu
Tundu Lisu aliwahi kulisemea hili watu wakamjia juu. Haya sasa tunashuhudia wenyewe!!!Majaji wote waliopata ujaji wakati wa Magufuli ni duni kwa kiwango cha kutia aibu kabisa !
Jaji kashidwa kulinda haki ya mshitakiwa, Mshitakiwa katamka wazi hakuwahi kupeledwa Central - Jaji kakataa upande wa Jamhuri kuleta ushahidi wao kuonyesha ni kweli walimfikisha ama hawakumfikisha.Na hili kombola lililolushwa jana na shaidi wa pili wa upande wa utetezi si la kitoto hata kidogo, litampa shida sana jaji na mawakili wa jamuhuri.
kesi ya kihuni, jaji anawasaidia tu hawa jamaa.Kwa nini sasa unazuia chain of custody ya police isijulikane... Unawasaidia kuficha nini hawa police?
Na kuna watu ambao Magufuli aliwatia woga kiasi kwamba mpaka leo wanafikiri bado anaendelea kutawala .....!!Majaji wote waliopata ujaji wakati wa Magufuli ni duni kwa kiwango cha kutia aibu kabisa !
Na huo ndo ukweliHii ni zaidi ya kesi ya kisheria, ni fitna na ubabe kisiasa na dola.
Niwakumbushe Jaji Mkuu Mstaafu alipoenda Ikulu kumuona Rais mwendazake alisema hakuna kitu kinachowapa shida kama vimemo vya maelekezo ya maamuzi ya kesi! Neno hili kwa nchi zenye utawala wa sheria ni zito sana japo sisi lilionekana ni maongezi ya wacheza bao! Jaji anayeapishwa na Rais anawajibika kutoa uamuzi ambao Rais anautaka, vinginevyo acha kazi na utakiona cha mtemakuni.Vyovyote iwavyo:
1. Majaji wote wa kesi hii mpaka sasa Pigia mstari Mpaka sasa- wameonesha uwezo hafifu sana wa kutafsiri sheria zetu.
2. Uwezo wa msimamizi wa hawa majaji nao uko kikaangoni.
3. Mwalimu wa majaji hawa ni nani haswa ili tujue uwezo wake au labda na yeye ana elimu ya kuunga unga?
4. Jaji hawezi amua kielelezo hakifai na ilihali alisha amua huko nyuma nini kinafaa na nini kifanyike.
5. Ni kushusha hadhi ya mahakama na kuwafanya majaji wetu wote ni vihiyo kitu ambacho si kweli
6. Jaji kiongozo hapo ulipo ujitafakari sana.
7. Maelezo ya onyo CPA 169 kifungu 3- serikali/Jamuhuri inatakiwa kuthibitisha kwamba maelezo yalikuwa halali- Whoever alleges , has the onus to prove and si vingibevyo.
8. Watuhumiwa wote wanasema maelezo yao yalichukiwa sehemu moja, barua hiyo ingewafanya Jamuhuri walete vithibitisho maana ni kazi yao ku- prove and kudisi-prove na yanayosemwa na watuhumiwa- hii ndio njia pekee ya mahakama kulinda haki za mtumiwa. Mahakama iko pale kulinda haki za watu wote ikiwemo washtakiwa na washtaki.
9. mahakam ina uwezo wa kumuita mtu yeyote kwa summons (subponea) ili aje atoe ushahahi wa kile kinachosemwa au kuharalishwa documents za ushadihidi ziletwe mahakamani, sasa ni kwa ni ni huyu Tiganga kama si kihiyo asifanye hivyo ili kutatua kesi hii katika suala hili la diocuments na chain of custody?
10. Unaficha chain of custody ya polisi kwa maana gani haswa ? Iletwe na tuwajue pia mbona unawakingia kifua hao Polisi?
11. Tiganga (sukuiti Mheshima maana kwa maamuzi yako mpaka sasa, huo uheshimiwa haukufai), uwezo wako mdogo unazichafua mahakama zetu katika jumuia ya kimataifa- amua kwa haki, kisheria na kama common law legal system inavyo kutaka.
12. Fursa ya judge ni kuwa referee wa haki lakini mpaka sasa unaonekana ni referee wa upande mmoja, ni dhambi hata mbele ya Muumba wako-Jitafakari maana huna zaidi ya miaka 70 ya kuishi toka sasa, huko mbeleni utajibu nini mbele ya mtenda haki mkuu... Mola Muumba wako?
13. Mwishio-haya ni Maoni yangu, Povu ruksa kama mtanzania ninaye practice sheria katika mahakama za kimataifa, Judge asema documemt haikufuata chain of custody ... Ni kweli kwamba two wrongs do not make it right. Kwa nini sasa unazuia chain of custody ya police isijulikane... Unawasaidia kuficha nini hawa police?
Haki si tu itendeke bali ionekane inatendeka kwa walimwengu wote hata wale wasio kuwa na interest na kesi hii, ikiwemo mimi binafsi...
Hahaha....eti "watanzania", mweh.u kweli we jamaa..mkiisha kupumliana visogonia na mpumuliwaji mwenzio ndo mnajiona watanzania enh? WATANZANIA TUPO KIMYA TUNAWACHORA TUU.