Kesi ya Mbowe: Wapelelezi wanatakiwa kumsaidia Rais kuithibitishia dunia Mbowe ni Gaidi na sio kucheza na majaji wetu pekee itatuweka kubaya

Kinachonifikirisha ni kwa nini mtuhumiwa wa kosa kubwa kama hili aliachwa huru wakati washirika wake wamekamatwa! Hivi hakujua kuwa washirika wake wamekwisha kamatwa na dili limebunguluka? Kwa nini alikuwa anaenda nchi za nje na kurudi alijiamini nini? Au walikuwepo washirika wakubwa zaidi waliokuwa wanampa ujasiri na asichukue hatua yeyote kujilinda? Kwa nini alipewa nafasi kwenye sherehe kule Mwanza kuongea mbele ya Rais? Ngoja nisubiri mashahidi wengine pengine nitapata jibu, la sivyo kwangu ni ngumu kumeza.
Mtuhumiwa wa Ugaidi akaruhusiwa kugombea Ubunge
 
Wacha niendelee kutafakari, bastola moja risasi tatu, washitakiwa wanne, hata wakigawana risasi hazitoshi, bastola sijui pia watazimana? Heri wangewakabidhi mapanga ili kila mmoja awe ana silaha. Sasa ugaidi unabidi utafsiriwe vizuri zaidi, kumhusisha mwanasiasha kwenye hii suala, mngelipanga vizuri zaidi, najua polisi kesi zipo kibao wanatafutwa tu watuhumiwa!
 
Ukweli mchungu NI kuwa toka mama arudi ameingia kwenye dira za kimataifa za diplomasia. Ameenda ughaibuni na amekuja na Zawadi kibao.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria.! Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo.
Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.

Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.
Mi si mwanasheria lkn mh!
1.kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6.kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.

Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.
Kulkuwa hakuna vilipuzi...ni bastola iliyoelezwa kuwa na risasi 3 lakini 2 zikaelezwa kuwa zilitumika kwenye majaribio ya hiyo silaha
 
Hii kesi ya Mbowe 'ilisukwa' wakati wa mwendazake lakini ushahidi ukaonekana utakuwa 'utopolo' wakaweka kabatini
Awamu hii wakaamua kuitoa kabatini bila kufikiri na kuipeleka mahakamani kwa mbwembwe kubwa hadi mama akashadadia baada ya kulishwa matango pori.
Sasa wanavuliwa nguo mchana kweupe na kuchutama wanakuwa wazito sana 🤣 🤣 🤣
 
TISS ndio wamepanga huu utopolo , mama kapewa matango poli akayabugia , majaji wakaelekezwa na wamekubali bila kujali aibu inayowakabili
Vikao kila siku jinsi ya kujikwamua na hii aibu inayoipata jamhuri. Kiufupi waliobuni hawakujipanga, walitegemea mgongo wa jiwe kwa ubabe na ujeuri wake juu ya mhimili wa mahakama kuwafunga kina Mbowe.

Walitegemea kwa uwepo wa jiwe kesi ingeendeshwa kimya kimya (bila mahudhurio ya waandishi wa habari na namba ndogo ya wahudhuriaji esp ndugu) na nguvu kubwa kwenye media na matamko ya viongozi wa juu kuuaminisha umma juu ya ugaidi wa Mbowe na kufutwa kwa CHADEMA (Upinzani kufa rasmi TZ)

HAKIKA AKIWAZACHO BINADAMU SI MUNGU AKIWAZACHO. MUNGU ni fundi na hakika ana njia zake za kuitetea HAKI
 
Hii kesi ya Mbowe 'ilisukwa' wakati wa mwendazake lakini ushahidi ukaonekana utakuwa 'utopolo' wakaweka kabatini
Awamu hii wakaamua kuitoa kabatini bila kufikiri na kuipeleka mahakamani kwa mbwembwe kubwa hadi mama akashadadia baada ya kulishwa matango pori.
Sasa wanavuliwa nguo mchana kweupe na kuchutama wanakuwa wazito sana
Na walijua kesi itakua gizani wamfunge kimichongo, wamekuja kustuka kesi ipo live kwenye mitandao ya kijamii kila kitu kinachoendelea mahakamani kipo live..
 
Mpaka sasa, sijaona ushahidi wowote mzito wa kuwahukumu washitakiwa kwa kosa la ugaidi.
1. Hakuna ushahidi wa kikao chochote wala minutes za kikao na agenda za kupanga ugaidi

2. Kuna mikoa ambayo wanasema ugaidi ungefanyika lakini hakuna shahidi aliyethibitisha kufanya upelelezi ktk mikoa yote tajwa, wao wameenda sehemu chache tu.

3. Hata shahidi wa Tigo ni kama alienda kuuza CV yake mahakamani tu, hakuna chochote alichokisema unaweza kusema kavumbua kosa la kula njama kufanya uhalifu.

4. Ushahidi wa baadhi ya mashahidi unagongana, Mama muuza mbege anasema alisikia askari akitoa kauli ya Chuchumaa wakati askari aliyehusika kumamata alisema shahidi huyo hakusema kweli bali amri aliyoitoa yeye ni kaa chini. Hii maana yake ni kuwa kuna kuiongopea mahakama kutoka kwa shahidi mmoja

5. Kwa upande wa Mashahidi, kuna details nyingi sana za kuisaidia mahakama na kuisaidia kesi yao hawakuziweka kwenye maelezo yao ya awali yanayotumika kama vielelezo mahakamani. Mara nyingi wakiulizwa kama kitu fulani na fulani walimueleza Jaji wanasema hapana
 
TISS ndio wamepanga huu utopolo , mama kapewa matango poli akayabugia , majaji wakaelekezwa na wamekubali bila kujali aibu inayowakabili
Mama apate kiburi cha urais asiwe kama mlnitir wa darasa primary kila kitu yes from mwalimu akidhani mwalim mjuvi sana kumbe business as usual. Tiss wanapalilia ugali wao wanamtisha report fake za 2025 kuwa Mbowe akisimamia katiba nchi haitawaliki acha tumpoteze utawale kwa raha kumbe sio kweli.

Katiba ipo itakuja tu mvua jua mbowe majalalani jk au mwigulu muda ni ukuta.....huwezi kupambana na muda. Afute ujinga wao sasa asimame kama rais .....ajitahidi kuwa counter check and balance habari zotte....intejensia hapo atawaweza.
...
 
Yaani mpaka leo ushahidi unaotolewa ni ukamataji tu tunataka watuambie ni nani aliewatonya na upelelezi ulivyoanza
 
Ndani ya jeshi letu la polisi wenye uwezo wa kupeleleza ni wachache sana. Na kwa kesi za kimkakati kama hizi hawawezi kushirikishwa mana wataingilia ama kuvuruga mikakakati miovu ya watawala.

So ndo wanatumika vilaza kwa mkakati huo huo na ambao ni rahisi kuhongwa vyeo ili wafanye unyama wao. Hii kesi kwa kila kitu kuanzia upelelezi mpaka ushahidi unaona kuna mapungufu mengi na mbaya zaidi watu wengi wsmeshapoteza Imani kwa mahakama. Watu wengi wanasubiri miujiza juu ya hatima ya Mbowe badala ya kusubiri haki.
 
Ukweli mchungu NI kuwa toka mama arudi ameingia kwenye dira za kimataifa za diplomasia. Ameenda ughaibuni na amekuja na Zawadi kibao.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria. Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo. Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.

Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.

Mi si mwanasheria lkn mh!
1. kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6. Kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.

Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.

Mashahidi wote hawajaweza kuwa link watuhumiwa na kesi inayo wakabili,zaidi naona wanajikita kwenye ukamataji tu basi kuelezea ugaidi wenyewe wameshindwa kabisa……wameonyesha uwezo mdogo sana na kusema ukweli hawakujipanga kabisa…


Mtu anayetaka kufanya ugaidi awe na bastora moja na risasi tatu!?wanasema walitaka kuwadhuru viongozi lakini wanashindwa kuthibitisha hilo zaidi wanamtaja sabaya tu ambaye ni jambazi.

Kesi kubwa kama hii wanashindwaje kuchukua sample za dna na finger prints kwenye silaha iliyo kamatwa ili wathibitishe ilikua inamilikiwa na wateja!?

Mi nashauri mawakili watetezi waombe register ya silaha zinazokamatwa na majambazi kwenye matukio wacheki kama hiyo silaha silaha haipo!
 
Ukweli mchungu NI kuwa toka mama arudi ameingia kwenye dira za kimataifa za diplomasia. Ameenda ughaibuni na amekuja na Zawadi kibao.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria. Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo. Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.

Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.

Mi si mwanasheria lkn mh!
1. kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6. Kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.

Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.
Kisu tu kinaweza kukutia hatiani,wewe unabeza bastola na risasi zake?

Mahakama haiangalii ushahidi mzito,huwa inajikita kwenye ushahidi usio na shaka yoyote,wewe unataka ushahidi uletwe kwa semi trailer!

Hizi nguvu zitumike katika kupangua kesi kwa hoja badala ya kulialia na kutishia vikwazo kama zimbabwe
 
Kinachonifikirisha ni kwa nini mtuhumiwa wa kosa kubwa kama hili aliachwa huru wakati washirika wake wamekamatwa! Hivi hakujua kuwa washirika wake wamekwisha kamatwa na dili limebunguluka?

Kwa nini alikuwa anaenda nchi za nje na kurudi alijiamini nini? Au walikuwepo washirika wakubwa zaidi waliokuwa wanampa ujasiri na asichukue hatua yeyote kujilinda?

Kwa nini alipewa nafasi kwenye sherehe kule Mwanza kuongea mbele ya Rais? Ngoja nisubiri mashahidi wengine pengine nitapata jibu, la sivyo kwangu ni ngumu kumeza.
Maswali mazuri sana haya, maswali fikirishi. Kuna watu wana ubongo wa sisimizi hawawezi kuelewa points zilizomo kwenye maswali hayo.
 
Hii ndio TZ , CCM wakikuchukia tu police wanakuandalia kesi ya uhujumu uchumi au ugaidi, na hiki ndicho kinafanya mpaka police waone ni sehemu ya majukumu yao
 
Hamnaga dunia iliyokaa chonjo kusubiri kutizama kinachoendelea Tanzania. Kuna mambo mob yanatokea duniani kila siku mazito mazito.

Afrika tu kuna mapinduzi kama matatu hivi ya karibuni..kuna vita tigray kuna ebola imezuka drc hapo hujaenda mabara mengine.

Hii obsession sijui dunia itaona nini Tanzania ni upuuzi. Pambaneni na kesi mkilegeza kama atafungwa hakuna kitu dunia itafanya jua litachomoza mash na kuzama magh kama kawaida.

Msidanganywe na theatrics za kuja wazungu mahakamani kwani huko nchi zenye misala hakukua na wazungu?
 
Ukweli mchungu NI kuwa toka mama arudi ameingia kwenye dira za kimataifa za diplomasia. Ameenda ughaibuni na amekuja na Zawadi kibao.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria. Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo. Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.

Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.

Mi si mwanasheria lkn mh!
1. kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6. Kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.

Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.
Kesi hii ni kama ngoma ya Sengeli ya kinamama ndani ya madela.
 
Back
Top Bottom