johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,820
- 141,721
1. Siasa zinaharibu mwenendo wa kesi
Kumbe wasiojulikana walikuwa ni kina Kingai, Jumanne, Goodluck na genge lao.Naanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Nimegundua serikali ya sasa inaongozwa na form 3 A. Uwezo wa kutafakari ni mdogo. Kesi haina mashikoNaanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Hakuna jipya,Naanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Nawaza hiki kifaa cha mahakamani kinachotumika na mawakili wa pande zote kinachoitwa"MAPINGAMiZI" kinaweza kutumika vibaya mahakamani na kikaharibu haki za watu,kitendo cha kukosea utaratibu,nukuu,mhusika kinaweza kumnyima haki aliye na haki yake.nafikiri haipendezi machoni pa Bwana.Naanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Hilo hujagundua.Nimejifunza ugaidi ni jambo baya
Ulimwengu uliumbwa kwa msingi wa HAKI, ni sisi wanadamu ndiyo tumekengeuka.Nimejifunnza kuwa duniani hakuna haki,,haki ya kweli IKO mbinguni
Nimegundua ugaidi ni jambo bayaHilo hujagundua.