Yaliyojiri mahakamani leo yanaacha maswali mengi yasiyoweza kuwa na majibu
Ni vipi athari za shauri kuangaliwa kwa upande wa mashtaka tu?
Ni vipi Jaji kuwa mshauri wa upande wa mashtaka?
Vipi maamuzi yanaegamia upande wa mashtaka tu?
Haupo uwezekano kuwa shitaka hili limeshaamriwa tayari?
Vipi wenzetu kuona taabu kuitwa waongo hali wao wanaita wengine magaidi?
Tulipo sasa na shauri ndani ya shauri, hili na la Adamoo ni lile lile. Wapi Siyani aliegemea kwenye hukumu yake kuna fahamika.
Shauri hili kumhusu Ling'wenya litumike vizuri kuweka mashinikizo yote yanayowezekana na bila ya kuwa na haraka.
Urio aletwe mahakamani, tulete mashahidi tokea RAU, Ling'wenya afanyiwe uchunguzi wa kitabibu, Zije nyaraka zote muhimu kutoka Moshi na Arusha.
Hawa kama ilivyokuwa kwenye revision ya sheria 2018, aumbuke mtu. Hata wao wakaweze kuona kama ni faulo basi hii wamezidisha.
Iddi Amini kama kocha wa timu za boxing Uganda alikuwa muwazi:
"Shindeni kwa KO kuepuka maamuzi ya kiupendeleo toka kwa marefu wabaguzi."
Ni vipi athari za shauri kuangaliwa kwa upande wa mashtaka tu?
Ni vipi Jaji kuwa mshauri wa upande wa mashtaka?
Vipi maamuzi yanaegamia upande wa mashtaka tu?
Haupo uwezekano kuwa shitaka hili limeshaamriwa tayari?
Vipi wenzetu kuona taabu kuitwa waongo hali wao wanaita wengine magaidi?
Tulipo sasa na shauri ndani ya shauri, hili na la Adamoo ni lile lile. Wapi Siyani aliegemea kwenye hukumu yake kuna fahamika.
Shauri hili kumhusu Ling'wenya litumike vizuri kuweka mashinikizo yote yanayowezekana na bila ya kuwa na haraka.
Urio aletwe mahakamani, tulete mashahidi tokea RAU, Ling'wenya afanyiwe uchunguzi wa kitabibu, Zije nyaraka zote muhimu kutoka Moshi na Arusha.
Hawa kama ilivyokuwa kwenye revision ya sheria 2018, aumbuke mtu. Hata wao wakaweze kuona kama ni faulo basi hii wamezidisha.
Iddi Amini kama kocha wa timu za boxing Uganda alikuwa muwazi:
"Shindeni kwa KO kuepuka maamuzi ya kiupendeleo toka kwa marefu wabaguzi."