Ifahamike kuwa hatuna taabu Mh. Mbowe na wenziwe kuhukumiwa kama kweli ni wahalifu.
Hata hivyo ifahamike kuwa haikubaliki kuwabambikizia kesi na hukumu zisizokuwa za haki.
Inafahamika kuwa Mawakili wetu wanafanya kazi kubwa katika mazingira magumu sana. Heshima kubwa kwao.
Heshima kwenu pia nyote mnaotoa michango yoyote ya hali na mali zikiwamo taarifa.
"Prof. Jay - kazi na iendelee."
Yapo mawazo mengi:
"... kwenu mawakili wetu wasomi kama itawapendeza."
Mapingamizi yenu ni ya msingi:
Chonde chonde wandugu, lisiachwe jiwe juu ya jiwe.
--------
Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene
Credit kwako S.M.P2503
Hata hivyo ifahamike kuwa haikubaliki kuwabambikizia kesi na hukumu zisizokuwa za haki.
Inafahamika kuwa Mawakili wetu wanafanya kazi kubwa katika mazingira magumu sana. Heshima kubwa kwao.
Heshima kwenu pia nyote mnaotoa michango yoyote ya hali na mali zikiwamo taarifa.
"Prof. Jay - kazi na iendelee."
Yapo mawazo mengi:
"... kwenu mawakili wetu wasomi kama itawapendeza."
Mapingamizi yenu ni ya msingi:
Chonde chonde wandugu, lisiachwe jiwe juu ya jiwe.
--------
Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene
Credit kwako S.M.P2503