Kesi ya Mbowe Novemba 4, 2021: Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe atoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Novemba 5, 2021

Naona raia wameleta shida,wamemleta SSP Madembwe Seba..polisi,kuwa shahidi kwa leo
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.
==============
Chaggadomo bana 🤣🤣🤣

IMG_20211103_093523.jpg
 
Wakili msomi wa tigo kashindwa kujieleza kila kiti anafanya yeye kwenye ofisi.
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.

==============

Jaji ameingia.

Kesi inatajwa

Robert Kidando anatambulisha Jopo lake

Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige

Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi

Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea

Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: Shahidi Wenu?

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda

Jaji: Majina yako

Shahidi: SSP Sebastien Madembwe

Jaji: umri

Shahidi: 46

Jaji:
Kabila

Shahidi: Mhehe

Jaji: Shughuli zako

Shahidi: Afisa wa Polisi

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkrito

Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla

Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani

Shahidi: SSP sebastian Madenge

Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi

Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma

Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini

Shahidi: Mwezi wa Nane 2020

Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi

Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam

Wakili wa Serikali:
Uliajiliwa lini kama Polisi

Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999

Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani

Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai

Wakili wa Serikali: Kitengo Gani

Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha

Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje

Shahidi: Arms Management and Registration Unit

Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini

Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini
Yaani huu ni upuuzi mtupu.. Mambo ya isidingo haya.
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.

==============

Jaji ameingia.

Kesi inatajwa

Robert Kidando anatambulisha Jopo lake

Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige

Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi

Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea

Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: Shahidi Wenu?

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda

Jaji: Majina yako

Shahidi: SSP Sebastien Madembwe

Jaji: umri

Shahidi: 46

Jaji:
Kabila

Shahidi: Mhehe

Jaji: Shughuli zako

Shahidi: Afisa wa Polisi

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkrito

Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla

Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani

Shahidi: SSP sebastian Madenge

Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi

Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma

Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini

Shahidi: Mwezi wa Nane 2020

Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi

Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Uliajiliwa lini kama Polisi

Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999

Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani

Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai

Wakili wa Serikali: Kitengo Gani

Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha

Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje

Shahidi: Arms Management and Registration Unit

Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini

Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini
Shahidi mfupi amevaa kaunda😀😀
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi iliahirishwa kutokana shahidi kupata dharura ya kiafya na upande wa utetezi haukutoa kikwazo chochote kwenye sababu hiyo. Jaji aliahirisha mpaka leo. Kuwa nami.

==============

Jaji ameingia.

Kesi inatajwa

Robert Kidando anatambulisha Jopo lake

Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige

Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi

Peter Kibatala
John Malya
Fredrick Kiwhero
Dickson Matata
Idd Msawanga
Nashon Nkungu
Maria Mushi
Khadija Aron

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja Tupo tayari kuendelea

Wakili wa Serikal: Mmoja anatoka kwenda Kumfuata

Jaji: upande wa Utetezi

Wakili Peter Kibatala: Na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: Shahidi Wenu?

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji ameenda Kufuatwa Anaingia Shahidi Mfupi Kavaa Kaunda

Jaji: Majina yako

Shahidi: SSP Sebastien Madembwe

Jaji: umri

Shahidi: 46

Jaji:
Kabila

Shahidi: Mhehe

Jaji: Shughuli zako

Shahidi: Afisa wa Polisi

Jaji: Dini yako

Shahidi: Mkrito

Shahidi: Mimi SSP sebastian Madenge Naapa Kwamba Ushahidi nitakaotoa ni Kweli tupu Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi Ataongozwa na Wakili wa Serikali Pius Hilla

Wakili wa Serikali: Shahidi umesema Majina yako kwa ukamilifu ni nani

Shahidi: SSP sebastian Madenge

Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi

Shahidi: Iyumbu Kule Dodoma

Wakili wa Serikali: Mkazi wa Dodoma tangu lini

Shahidi: Mwezi wa Nane 2020

Wakili wa Serikali: Kabla ya hapo ulikuwa unaishi Wapi

Shahidi: Nilikuwa naishi Muongo la Ndege Ukonga, Nikiwa Ofisa wa Polisi Makao Makuu, iliyokuwa Makao Makuu Dar es Salaam

Wakili wa Serikali:
Uliajiliwa lini kama Polisi

Shahidi: 02 Mwezi 09 Mwaka 1999

Wakili wa Serikali: Katika Jeshi la Polisi Upo kamisheni gani

Shahidi: Nipo kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai

Wakili wa Serikali: Kitengo Gani

Shahidi: Udhibiti na Usajili wa Silaha

Wakili wa Serikali: Kwa Kizungu Mnaitaje

Shahidi: Arms Management and Registration Unit

Wakili wa Serikali: Kitengo hilo kina husika na Nini

Shahidi: Usajili wa Silaha za Raia Utoaji wa Leseni za Kumiliki silaha Kibali Vya Kuingiza Silaha Nchini Vibali Vya Usafirishaji wa Silaha na Risasi Hapa Nchini
Mbona imeishia hapa?
 
Back
Top Bottom