mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
ukisikia intelijensia ndio hiyo mkuu.Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?
mnaandamana nao
mnapanga nao
mnaiba nao
mnawanga nao
mnakula nao
mkiagana wanakwenda polisi.
mahakama inawajua,na wana kinga maalumu,jinchanganye kuwafuata.