Simu hazizimwi, simu hua zinatolewa saut digidig wwMahakama imeamuru wasikilizaji waingie lakini simu lazima ziwe zinazimwa mbona huelewi?
Kwani serikali ovu na njema ni ipi kwa rejea ya vigezo vyako hapo juu?
Serikali zote dunania
1. Hutumia nguvu kupeleka mambo yake inakotaka hata kwa kutumia njia za ulaghai
2. Wanamizengwe na taratibu zinazokatisha tamaa na kuchochea rushwa
3. Serikali inayobadilika bila kuwa na msimamo imara katika mipango na matarajio yake haifanikiwi
*Serikali inayojifanya ni ya kidemokrasia hiyo inaficha uovu uliokithiri kuliko yenye kutumia nguvu kufanikisha mambo yake
Kwa hiyo kama haizimwi kama unavyotaka kulazimisha kuwa unaacha kufutilia mwendo wa kesi unaipokea?Simu hazizimwi, simu hua zinatolewa saut digidig ww
Baada ya kusoma paragraph ya kwanza inatosha kukupuuzaKwa hiyo kama haizimwi kama unavyotaka kulazimisha kuwa unaacha kufutilia mwendo wa kesi unaipokea?
Ukipokea simu unaonea kwa sauti au unafanyaje usipitwe na kinachoendelea?
Kile unachokifanya hapo mahakamani wakati shughuli za mahakama zikiendelea haziwabughudhi wengine?
Je, kutuma kila kinachojiri hapo mahakamani wakati huo hakiingilii uhuru wa mahakama na kuwaelekeza mkondo upi wauchukue kufanya uamuzi bila kudhibiti hisia za maslahi binafsi?