orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,676
- 4,243
Una maanisha nini kumuita huyu mwandishi wa habari takataka? Nadhani pia mahakama unahusika sana tatizo iliingiliwa kimamlaka hivyo mawakili wa watuhumiwa pamoja na wasikilizaji wengine wakashinikiza kama kesi ipo mahakama ya wazi basi mazingira yaruhusu kesi izungumzwe kwa uhuru