Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Yaani kama nao polisi wanajua ni kusudi na kweli iwe ni kusudi,wawe makini wale waliohusika kutesa na kutweza utu wa hao maaskari.Uwezekano wa kisasi kulipwa ni Mkubwa sana.Sirro anaweza akaishia kutoa pole endapo atakua bado ni IGP,ila kama atakua kashastaafu,yawezekana akapigiwa simu kukumbushwa tu kua,mzee unawakumbuka wale vijana wa kesi ile,wamepatwa na hili na lile,sijui yatakua ni yaleyale au kuna mengine,na Sirro yawezekana akajibu kutokana na uzoefu wake kwenye hilo jeshi,nakuwashauri cha kuendelea nacho.Haya mambo bhana,yanauma sana,sikia tu kwa mwenzako kuhusu kukaa ndani,bado uteswe,mmmh... kama huyo aliyesema alichomwa matakoni,najua anayo hasira sana kama kasingiziwa.
Hii kesi ya Mbowe Ni kusudio Sana ili tujuwe maovu ya hao makatiri polisi
 
Huyu Kingai ni shetani mkubwa. Binadamu wote tutakufa siku moja, lakini jitu katili kama hilo Kingai, likiondoka Duniani, ni faraja kubwa kwa wana wa Mungu.

Ni sawa na mbwa mwitu akifa katikati ya kondoo, ni dhahiri kondoo wataweza kupumua kwa amani na uhuru.

Mwenyezi Mungu wewe ni muweza wa yote. Sisi sote ni wadhambi, lakini wengine ni si wadhbi tu, bali ni maharamia maana wapo Duniani kwaajili ya kutesa na kuangamiza watu wako. Uwatazame wale maharamia wanaowatesa na kuwadhulumu watu wako kwa nafasi walizo nazo kama kuwa polisi au watoa amri kwa polisi. Tunaomba sana, hawa wakutane na mkono wako wenye nguvu, na laana kuu ikakae juu ya vichwa vyao ili wasiutukane ukuu wako hata wakaona wana mamlaka ya kiamua nani aishi kwa furaha, nani ateseke; nani aishi na nani asiishi.

Mamlaka na ukuu wako uwaoneshe kuwa wao si lolote wala chochote, bila ya wewe.
 
Tunatofautiana uelewa..binafsi naona jamaa kajichanganya sana.ndio maana wakili wa serikali amepata muda wa kumuuliza maswali mengi sana.
Umesema vema kuwa tunatofautiana. Wewe inaonekana umejichamganya sana kwa kutoelewa.

Hata jaji amefikia hatua ya kumwambia wakili wa serikali aulize maswali. Analeta stories. Na akiendelea na stories anachukua muda mrefu, na huku yeye jaji asielewe hata ni nini anachotaka kuuliza. Akamwambia, 'go straight'.
 
Kwenye hii kesi magaidi wamejulikana ,magaidi wanateka ,wanatesa ,kuchoma watu na bisibisi ,kuning'iniza ,kubambikia watu silaha na unga. Kwanza hawajafuata procedures za ukamataji ,hao ndo magaidi halisi ,raia wasio na hatia wametekwa na magaidi.

Dalili zinaonyesha Hawa ndo wasiojulikana maana njia zote walizotumia ndo hizo
Mkuu umekaa chini unawezaje kuchomwa bisibisi matakoni? Kama hilo linawezekana basi mwanamke mjamzito naye anaweza kutolewa bikira
 
Nchi hii kweli inamaajabu yake
Kama comandoo akageuka bausa wa kulinda hadi walevi
Ipo siku makomandoo wa kibongo watawalinda mpaka wakina ambar. Ruti,harmorapa,twaha kiduku,dula mbabe,wema sepetu...nk
Au huyu comandioo atakuwa comandoo mzee mstaafu..
Eheee comando,eehh comandoo., Comandoo tofari kichwani tiih..
huo ni utaratibu wa kawaida,kina kim kardashian wanalindwa na askari wastaafu wa jeshi la Marekani, ukiwa na pesa ushindwe wewe tu
 
Lengo la hao WAHUNI akina Kingai na MAGENGE YAKE ilikuwa ni kumpoteza kabisa huyo Komandoo wetu, ndio sababu walitenda huo UHARAMIA kwa kujiamini namna hiyo. Mission iligeuka tu, walipotakiwa kumuunganisha Mbowe kwenye kesi.

Kwa matendo hayo ya KINYAMA NA HOVYO, kisasi hakiepukiki. Trust me, time will tell..
Kabisa
 
Back
Top Bottom