Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Mkuu, mimi kila nikishuhudia kifo cha mapolisi kwa risasi huwa najifanyia tafrija kujipongeza. Hili ni GENGE la MAHARAMIA wenye baraka za Serikali ya kidhalimu.
 
Nitajie wakili yeyote wa Serikali ambaye ana uelewa wa sheria japo nusu ya Kibatala... Nami nitakuonesha nguzo ya umeme inayozaa mapapai
Sio kweli kuwa mawakili wa serikali hawajui sheria, shida ni kesi wanayoiendesha. Fuatilia kesi ya Sabaya uone walivyochangamka. Tena mawakili wa Sabaya ndio wako na wakati mgumu sana
Fuatilia hiyo habari na link zake uone wanavyoupiga mwingi.
 
Maonezi yanapo zidi nchini chini ya polisi nihatari kwa mstakabali wa taifa hasa watendwa watakapo choka na uonevu huo.

Polisi wanapaswa kubadilika pakubwa ,kwani vidole Amwanavyo nyooshewa vimekua vingi mno!
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Ninaamini huyu Komando siyo mpumbavu kama hawa waliomtesa. Mungu atamsimamia na atawasamehe hawa Mumiani wote
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Kana kwamba nchi hii ina makomandoo hao tu..
Wathubutu waone!
 
Kwenye hii kesi magaidi wamejulikana ,magaidi wanateka ,wanatesa ,kuchoma watu na bisibisi ,kuning'iniza ,kubambikia watu silaha na unga. Kwanza hawajafuata procedures za ukamataji ,hao ndo magaidi halisi ,raia wasio na hatia wametekwa na magaidi.

Dalili zinaonyesha Hawa ndo wasiojulikana maana njia zote walizotumia ndo hizo
 
Wakuu, nikili kuwa nmefuatilia kwa karibu Sana kesi ya m/kiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe na wenzake toka ianze mpaka Leo, kipindi chote hicho nlikua naelewa kilichokuwa kikiendelea na namna ambavyo safu zote ( yaani upande wa mashtaka na upande wa utetezi walivyotupa taswira ya mambo).

Lakini Leo, baada ya wakili msomi Peter Kibatala kumaliza kumhoji mshitakiwa Adamoo na Jaji kumpa uskani wakili wa serikali (mashtaka), kwa kweli nmetoka kapa, nadhan hata mshtakiwa mwenyewe alikua haelewi maswali ndo maana alikua anaomba yarudiwe, Jaji nae vivyo hivyo!

Kwa kuwa tunazidiana uwezo wa kufikiri, je , Wenzangu mmemuelewa wakili wa serikali alikua anauliza Nini?
Kama uliipata picha ya ndugu wakili, tujuzane hapa tafadhar!
Yule wakili alkuwa anazunguka kweli..swali anauliza mwishon halieleweki, yule nae hamna kitu, yupo mmoja upande wa serikal yupo vzr
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
na amini kwa qualified trained comando hawezi kufanya hiki unachofikiria sana sana ataionea huruma familia yake na kuwasamehe wote.
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
ACHA WOGA WW
 
Tunatofautiana uelewa..binafsi naona jamaa kajichanganya sana.ndio maana wakili wa serikali amepata muda wa kumuuliza maswali mengi sana.
Maswali mengi ni ya kumchanganya tu shahidi, hayakuwa na mantiki yoyote.
 
na amini kwa qualified trained comando hawezi kufanya hiki unachofikiria sana sana ataionea huruma familia yake na kuwasamehe wote.
Lengo la hao WAHUNI akina Kingai na MAGENGE YAKE ilikuwa ni kumpoteza kabisa huyo Komandoo wetu, ndio sababu walitenda huo UHARAMIA kwa kujiamini namna hiyo. Mission iligeuka tu, walipotakiwa kumuunganisha Mbowe kwenye kesi.

Kwa matendo hayo ya KINYAMA NA HOVYO, kisasi hakiepukiki. Trust me, time will tell..
 
Nchi hii kweli inamaajabu yake
Kama comandoo akageuka bausa wa kulinda hadi walevi
Ipo siku makomandoo wa kibongo watawalinda mpaka wakina ambar. Ruti,harmorapa,twaha kiduku,dula mbabe,wema sepetu...nk
Au huyu comandioo atakuwa comandoo mzee mstaafu..
Eheee comando,eehh comandoo., Comandoo tofari kichwani tiih..
 
Back
Top Bottom